Very sad,basi ndio binadamu kushney hivyo,maana hata kama usipochanjwaaa,sumu hizo zina ambukiza,process wanayoiita Shedding.Na katika utafiti niliofanya,they are coming with a more potent sijui niite variant,ambayo ita wipe out hata wale ambao wamekataa kuchanjwa.Watakaobaki around 500million worldwide,ni wale tu waliochanjwa na chanjo ya Moderna,ambao hata hivyo watakuwa kama zombies wakuendeshwa tu kama robot.
So purpose ya hizi chanjo zote ni nini,ni kufanya kitu wanachoita "selective culling of the herd."Yaani binadamu tuna kuwa "culled" kama vile Ng'ombe vile.
Hata hivyo ni vema watu wakajua kwamba culling imeanza siku nyingi sana,kwa kutumia vitu kama junk foods,medications,uzazi wa mpango,plastics,colours za nyumba etc..Tofauti ya hii culling ya sasa ya kutumia jabs za C-19 na ya zamani ni kwamba this is more intense,na wanadhani itakuwa ya mwisho,na adhma yao ya kuwa na watu millioni 500 tu duniani itakuwa imefikiwa.Ndio maana they are pushing so hard.