#COVID19 Ex-Vice President wa Pfizer, Profesa Mike Yeadon: Chanjo za COVID- 19 si salama

Ni kampuni ya Seedco sio East Africa Seed. Na tangazo hilo limetokea Harare Zimbabwe
 
Ni kampuni ya Seedco sio East Africa Seed. Na tangazo hilo limetokea Harare Zimbabwe
Ni wamoja tu hao,hawana tofauti mama,their agenda is one.Rothschild kwa mfano,haijalishi kama kampuni yake ipo Beijing or Toronto,sheria ni zile zile.

Naona umetoka kwenye closet kwa kuogopa bidhaa zenu zitasusiwa.Niwahakikishie kwamba kama binadamu wataamka,this is a big,big possibility.Ombeni waendelee kulala.Hata mbegu zenu ni protest issue!Ila ngoja nisiende huko kwa sasa.
 
Kampuni tofauti bwana. Yes kuna Seedco Tanzania lakini sio kua ni hiyo East African Seed. Hapa usidanganye khaaa
 
Kampuni tofauti bwana. Yes kuna Seedco Tanzania lakini sio kua ni hiyo East African Seed. Hapa usidanganye khaaa
Nimesema hizo kampuni ni watoto wa baba mmoja.Owners are all managed by the "Big Brother," if you understand me well.Sijui hata kama unaelwwa maana ya Big Brother!
 
Wee mwenyewe umechanja? Na wewe kachanje. Tafadhali mkachanje.
Uko upande gani mkuu,pro or against.Msifanye utani,Big Brother anatumia mpaka wasanii wake sasa,mkizubaa taifa limekwisha hili,wake up guys, fight back.
 
Uko upande gani mkuu,pro or against.Msifanye utani,Big Brother anatumia mpaka wasanii wake sasa,mkizubaa taifa limekwisha hili,wake up guys, fight back.
Tutabaki tuliochnaja. Unajua mnapo wasukuma sana watu mnaweza mkasababisha watu wakaona kama kuna kitu nyuma yake. Facts wameshapewa sasa unadhani inakuwaje?
 
Tutabaki tuliochnaja. Unajua mnapo wasukuma sana watu mnaweza mkasababisha watu wakaona kama kuna kitu nyuma yake. Facts wameshapewa sasa unadhani inakuwaje?
Mkuu watu ni lazima wapate taarifa mbadala na za ukweli kila wakati.Hawa jamaa wakiendelea ku-pump uongo wao kwa watu wetu wataukubali na watasahau ukweli na hatimaye watakubali kuchanjwa.We must be vigilant and continue to provide truth.Uwongo ukiongewa mara kwa mara mwishoni unaonekana kuwa kweli.
 
Vi-dumper kama wewe hamustahili kuwa JF,basi tu.Tunahitaji hoja,sio ukashu na talalila.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So wew ndiye unashahili kuwa humu,
Wew ni Gwajiboy
 
Unajisumbua bure huwezi kufanikiwa kuwashawishi watu wote wawe na mawazo kama yako.
 
Unajisumbua bure huwezi kufanikiwa kuwashawishi watu wote wawe na mawazo kama yako.
Very sad,basi ndio binadamu kushney hivyo,maana hata kama usipochanjwaaa,sumu hizo zina ambukiza,process wanayoiita Shedding.Na katika utafiti niliofanya,they are coming with a more potent sijui niite variant,ambayo ita wipe out hata wale ambao wamekataa kuchanjwa.Watakaobaki around 500million worldwide,ni wale tu waliochanjwa na chanjo ya Moderna,ambao hata hivyo watakuwa kama zombies wakuendeshwa tu kama robot.

So purpose ya hizi chanjo zote ni nini,ni kufanya kitu wanachoita "selective culling of the herd."Yaani binadamu tuna kuwa "culled" kama vile Ng'ombe vile.

Hata hivyo ni vema watu wakajua kwamba culling imeanza siku nyingi sana,kwa kutumia vitu kama junk foods,medications,uzazi wa mpango,plastics,colours za nyumba etc..Tofauti ya hii culling ya sasa ya kutumia jabs za C-19 na ya zamani ni kwamba this is more intense,na wanadhani itakuwa ya mwisho,na adhma yao ya kuwa na watu millioni 500 tu duniani itakuwa imefikiwa.Ndio maana they are pushing so hard.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So wew ndiye unashahili kuwa humu,
Wew ni Gwajiboy
Huu si ndio ukashu wenyewe.Lete hoja ndugu.Ninyi ndio wanaowalenga zaidi na chanjo ninyi,because you are not productive.
 
Mathanzua unafikiri kuna uwezekano wa mkakati huu wa kupunguza binadamu kwa njia hii kusimamishwa?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…