Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,043
- 3,305
hilo joto hapo headquarter...🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MichelinSHEPU KAMA LOTEE
Hakika yani...yani ni kama mjusi yupo juu ya gogo.....
kwakweli Grand P apewe cheti cha heshima
Fanya kunitumia [emoji847]Kuna connection yao, kajamaa kadogo dogo kapo kanahangaika juu ya huyo mwanamke...
Kwenye saa sita usiku nitakutumia...Fanya kunitumia [emoji847]
babe nakuacha rasmiFanya kunitumia [emoji847]
Dah saa sita nitakuwa nakoroma sasaKwenye saa sita usiku nitakutumia...
Evelyn Salt kwenye Hili jukwaa la jamii mwanamke ninayemtamani ni wewe unaonekana kabisa unajua mambo kasi yangu na yako inaweza ikawa ina match kwa asilimia kubwayani ni kama mjusi yupo juu ya gogo.....
kwakweli Grand P apewe cheti cha heshima
Nitakumwagia uamke...Dah saa sita nitakuwa nakoroma sasa
EeenhNitakumwagia uamke...
ahsante, naomba unioe tuumalize mwendo.Evelyn Salt kwenye Hili jukwaa la jamii mwanamke ninayemtamani ni wewe unaonekana kabisa unajua mambo kasi yangu na yako inaweza ikawa ina match kwa asilimia kubwa
Aso na hili Wala liledunia rangi rangile
Ndiyo maana nasema wewe lala nitakumwagia utaamka...Eeenh
Kunimwagia tena [emoji1787][emoji1787] acha niwahi kulala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ahsante, naomba unioe tuumalize mwendo.
🤔🤔🤔🤔Evelyn Salt kwenye Hili jukwaa la jamii mwanamke ninayemtamani ni wewe unaonekana kabisa unajua mambo kasi yangu na yako inaweza ikawa ina match kwa asilimia kubwa
Kiumri bado sijafikia kwenye kuoa labda kwa baadae vip unaishi wapi?ahsante, naomba unioe tuumalize mwendo.
Mbona sijaiona hii ntumie pm mjuba😁Ila ile connection yao na yule kajamaa kake inanivunjaga mbavu sana dogo anaihemea papuchi mpaka anataka kulia,anahangaika kinoma🤣🤣
ntakusibiri nipo mitipwiliKiumri bado sijafikia kwenye kuoa labda kwa baadae vip unaishi wapi?