Kocha Mkuu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,862
- 3,320
ha ha ha we jipange tu andaa fungu ndoa za mastar zinajulikana, kutulia ndani kupika, kufua, usafi, kuzaa, kulea yataka moyo...yani habari za kuparty ziishe, kudanga byebye teh vilimshinda kwa ndikumana.
Ha ha ha waache waoaneNina wasiwasi Dogo atakuwa na biashara nje ya huu muziki tunaouona, kwa sababu kujimilikisha ule mzigo moja kwa moja nalo ni bonge la changamoto, hachelewi kwenda kudanga anakuacha home, ukileta ubishi unaambiwa hudumia.
Sijui kwa kweli ila namwombea mazuri, ingawa ningemshauri angekula tu na siyo mambo za kuoana.
Ha ha ha waache waoane
ha ha ha eti u subscribe kwenye ndoa, nmechekaNgoja tusubscribe kwenye hii ndoa, maana mimi wivu ulinijia ila nishakubali.
ha ha ha eti u subscribe kwenye ndoa, nmecheka
dawa ni kununua bando za mwezi mzima hizi za kila siku hazifaiTuandikie hatuna bando la utube
Mi nadhani unaelewa vzr ila tabia yako ya kujifanya huelewi uache au unataka upate uhakika wa kile ulichoelewa!!Kuna mwingine humu anajiita LONDON BABY yaani huwa sielewi kabisa
Wanatofauti gn n wasafi babyCelebrity forum cku hizi inakata stim.......kwani mkiandika mnapungukiwa nini.au mnazani wote tunamijihela ya bando?
Mnaboa bn ndo mana mnakosa ata wachangiaji na umbea umepungua ladha sababu hii......
Back to topic
Yan katika pipoz sizielewagi ni huyu msami baby......iv inakuaje mwanaume kujiita baby.
Hata post zake za kike kikeKuna mwingine humu anajiita LONDON BABY yaani huwa sielewi kabisa
Mulemule kasoro mitaaWanatofauti gn n wasafi baby
tatizo siyo bando wengine hawana access na 3g wapo vijijini huko hawawez kustreamPole .unatumia bando lamtandao gani vile .
Mambo ya uani ndo yapi? Tuanzie hapoBonge la gun/
You're my number 1/
Unanipaga mpaka mambo ya uani
Karibu kitani/
Nishanunua gun
Tuchane shuka kama manamba mashambani/
Haka kawimbo ka ngarenaro katamu sana sijui alimuimbia uwoya