Pengine labda ningeendelea kuwa nae nisingetambua umuhimu wake,nisingejifunza,nisingejua kuvumiliana,kuchukuliana,kuwa na huruma kwa watu wengine,nisingejifunza tofauti ya watu,nisingekuwa na unysnyekevu na kuchukuliana,nisingemjua Mungu na matendo yake makuu(maana ndicho kipindi nilichoanza kusali na kufunga kwa juhudi zote)itoshe kusema nimejifunza mengi kwa kupigwa chini na kukutana na yule mastaOoooh!pole sana kwa kumpoteza huyo jamaa
We fala, tafuta hela qhumamae, wewe kazi kushinda kwenye uzi wa kula tunda kimasihara, unadhani utaacha kuachwa? humpi hela, humgi pampu mpaka akili imkae sawa, unadhani ataachaje kukuacha, ila pole mwanangu, niliwahi kuachwa niliona roho inataka kuacha mwili πPengine labda ningeendelea kuwa nae nisingetambua umuhimu wake,nisingejifunza,nisingejua kuvumiliana,kuchukuliana,kuwa na huruma kwa watu wengine,nisingejifunza tofauti ya watu,nisingekuwa na unysnyekevu na kuchukuliana,nisingemjua Mungu na matendo yake makuu(maana ndicho kipindi nilichoanza kusali na kufunga kwa juhudi zote)itoshe kusema nimejifunza mengi kwa kupigwa chini na kukutana na yule masta
Kila kitu hutokea kwa sababu Hicho ndicho naamini sana.kila wakati umebeba kusudi lake
Mwana acha nitafute hela mwanangu.hawa wanawake sio kabisa yani.dahWe fala, tafuta hela qhumamae, wewe kazi kushinda kwenye uzi wa kula tunda kimasihara, unadhani utaacha kuachwa? humpi hela, humgi pampu mpaka akili imkae sawa, unadhani ataachaje kukuacha, ila pole mwanangu, niliwahi kuachwa niliona roho inataka kuacha mwili π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwana acha nitafute hela mwanangu.hawa wanawake sio kabisa yani.dah
Daah kuna wanawake wa maana duniani kama huyuMungu amtunze, awe na afya njema na baraka, awe na amani azungukwe na upendo.
Awe na mafanikio makubwa, akipata yeye naamini na mimi nimepata[emoji28]
Apate mke mwema watayeongea lugha moja.
AminaAishi maisha marefu. Yenye furaha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ulianguka dhambini?Me nilivyoachana nae tu hadi nikajikuta naanza kunena kwa lugha nikiwa kwenye maombi..n vile tu yule shetwan alinikamata!![emoji1][emoji1]
Hili huwa hawalielewiNinamuombea heri, fanaka na mfanikio. Awe tajiri, afanikiwe kila idara ili Mungu amfundishe tofauti ya THAMANI VS BEI, ili ajue jinsi gani nilimthamini
Kuna watu hawawezi ugomvi wana mioyo mwananaNi nini kina kufanya usigombane nao na ilihali katika hali ya kawaida sio rahisi?
Hata sikumbuki kama he still exist in this world sembuse kumuombeaUnambariki? Kwanini?
Ninambariki mno mno. Nitafarijika niko endelea kumuona anafanikiwa na kuishi na ndoa yake kwa upendo na amani. Mungu azidi kumkinga na hatari katika maisha yake alikuwepo wakati nina uhitaji na kila mtu aliniacha (nalithamini hilo kuliko kawaida) Mungu azidi kumtunza mtu huyu.
Twende kazi.
π§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Hili ni jema sananimtakie kila lililo jema
Ma Ex wangu wote wawe na maisha mazuri. Kizuri zaidi nasaidiana nao ktk shida na rahaUnambariki? Kwanini?
Ninambariki mno mno. Nitafarijika niko endelea kumuona anafanikiwa na kuishi na ndoa yake kwa upendo na amani. Mungu azidi kumkinga na hatari katika maisha yake alikuwepo wakati nina uhitaji na kila mtu aliniacha (nalithamini hilo kuliko kawaida) Mungu azidi kumtunza mtu huyu.
Twende kazi.
π§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
HahahaUnambariki? Kwanini?
Ninambariki mno mno. Nitafarijika niko endelea kumuona anafanikiwa na kuishi na ndoa yake kwa upendo na amani. Mungu azidi kumkinga na hatari katika maisha yake alikuwepo wakati nina uhitaji na kila mtu aliniacha (nalithamini hilo kuliko kawaida) Mungu azidi kumtunza mtu huyu.
Twende kazi.
π§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Akizaliwa upya awe mchanga nimkanyage...to hell!