Ex wangu anajiuza nimejaribu kujifanya mteja alipogundua kaanza kunilaumu kuwa mimi ndio sababu

Sijui nicheme au nichicheme nachema.
1.ulimpenda kushinda wengine ukaja kujua hana akili ya maisha .
2. Wewe ni malaya kama yeye bora anajiuza anapata chake wewe unachukuliwa hela na yeye eti mmeachana wapi .
Lione kwanza hujatulia huyu men mapepe.
Tulia unamke namtoto umalaya wanini??🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️ mnachosha
 
Povu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
😁😁aroooo

Kwan kumove on ni sh ngapi?
 
Tulia dogo mtoto mmoja tu kwenye ndoa hujafikisha hata miaka 5 wenzako waliishi pamoja miaka 10 ila sasa hivi wanapishana mahakamani huko if it's your enjoy your marriage life ila hii kutupiga kamba hapa kwamba mna amani doesn't make sense wenzako juzi wameuana dodoma walikuwa na watoto wanne.
 
Ni wao sio mimi na maisha hayafanani usikariri.
 
Duuh!ndo ex mwenyew ninu?
 
Kumbe mtu mwenyewe ni wewe?
Tuliza kitumbua wewe dem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…