wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,046
- 2,453
Mkewe ana biashara ya massage pale sinza, kila mteja ni 50,000/= ila baada ya kimfanyia mteja massage mkewe anajiongeza kwa dau la 200,000/=., na kwa siku ana wateja siyo chini ya 10. Upoo?Mkuu hiyo biashara ya mkeo 4,000,000 baada ya miaka 3 imezaa 40M ni biashara gani na mm nikafanye?
Nadhani kwa sababu alimlamba 6 milliom demu akaenda kuzungusha baa na wenzieSasa unamfuatilia wa nini kama mmeachana?
Wanaume hua hatupendi kuwaona wale tulio wapenda wanadhurika ....hii hata mimi huo inanisumbua sanaSi mmeachana? Au bado moyo unakuuma?
Leteni nguo chafu tufue povu la bure hili hapa[emoji23][emoji23][emoji23]Sijui nicheme au nichicheme nachema.
1.ulimpenda kushinda wengine ukaja kujua hana akili ya maisha .
2. Wewe ni malaya kama yeye bora anajiuza anapata chake wewe unachukuliwa hela na yeye eti mmeachana wapi .
Lione kwanza hujatulia huyu men mapepe.
Tulia unamke namtoto umalaya wanini??[emoji2356][emoji2356][emoji2356][emoji2356] mnachosha
Mkuu huku ni kunikosea adabu, 😂 na uhakika asilimia 99 nilikualika mzee, kwenye uzi pale pale nilikutag.Mkuu kwenye shughuli hukunialika ilaa.. poa tu ingawa yangu nitakualika.😄
Kivipi??Hili povu linawalakini aisee
Okay hili sio povu la sabuni hili nila kichamboo halifui nguo linarekebisha malaya kama weweLeteni nguo chafu tufue povu la bure hili hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sio hatupendi kusikia suala ni kwamba sio lazima kukiwa na amani kwenye ndoa mtuambie kwasababu mi naona mnaigiza tu hata hao wanao uwana walikuwa wanapost wanapenda tena wana furaha na amani kumbe hamna kitu.Kwa nini huwa hampendi kusikia kuwa mtu ana amani kwenye ndoa yake? Maisha ni vile wewe mwenyewe umeamua kuishi
Kumbe na wewe ni mmoja wapo?Itabidi tuanzishe nyuzi ya sisi tuliopata wake(wenza) jf humu.
Ndio.. Kwani hujui, hivi silukupaga mualiko wa kutafuna mpunga 🍚!?Kumbe na wewe ni mmoja wapo?
Dah aisee..hivi ikawaje hujawahi nihadithia story tamu kama hiyo?Ndio.. Kwani hujui, hivi silukupaga mualiko wa kutafuna mpunga 🍚!?
Aiyaa.. Ulikuwa wapi we mzee mwenzangu!!? Ngoja nikuwekee ule uzi hapa ujisomeeDah aisee..hivi ikawaje hujawahi nihadithia story tamu kama hiyo?
Sawa sawaAiyaa.. Ulikuwa wapi we mzee mwenzangu!!? Ngoja nikuwekee ule uzi hapa ujisomee
Wacha tuwajue...wewe unaona kuuza k ni halali?Bas ungemwacha na maisha yake,hujafanya vyema kumwanika huku ukijua atasoma pia
Thread 'Natafuta mke' Natafuta mkeSawa sawa
Si vyema,lakin kumwanika si vyema kabisaWacha tuwajue...wewe unaona kuuza k ni halali?
Wote kwa Pamoja Tusome Hii Reply kwa Umakini na Uelewa Mnaweza Kung'amua Kituu.Sijui nicheme au nichicheme nachema.
1.ulimpenda kushinda wengine ukaja kujua hana akili ya maisha .
2. Wewe ni malaya kama yeye bora anajiuza anapata chake wewe unachukuliwa hela na yeye eti mmeachana wapi .
Lione kwanza hujatulia huyu men mapepe.
Tulia unamke namtoto umalaya wanini??[emoji2356][emoji2356][emoji2356][emoji2356] mnachosha
Kipi bora...Aanikwe anune...Au Asianikwe ili aambukize UKIMWI wana MMU (watafuta wake)Si vyema,lakin kumwanika si vyema kabisa
Ndo yeye?Wote kwa Pamoja Tusome Hii Reply kwa Umakini na Uelewa Mnaweza Kung'amua Kituu.