Ex wangu ananinyanyasa kisa kapata kazi

Sasa hapo umenyanyasika vip ? Tafuta pesa acha kulamba lamba lips. Sasa hiyo namba yake bado unayo ya nn utoto bado unakusumbua
 
Endelea kubanana na dadako hapo kwa shemeji shauri yako..
 
Kuachana sio uadaui bali ni kupiga hatua moja mbele juu ya uhuru wa nafsi.......

Kuamua kuachana ni ukomavu kwa kuwa umevishinda vita baina ya nafsi na mwili na umekuwa huru........

Lakini bahati mbaya watu wengi hawajui tofauti ya kuachana na kutengana.......

Watu wanatengana baada ya kuachana na huyu mtoa mada ni mmoja kati ya watu hao.....

Huo ni udhaifu wa nafsi inayotapa tapa kwa kukosa inachokitaka.........

Kuachanaa maana yake ni kufungua ukurasa mpya kwenye maisha yako bila ya yule mliye kuwa mnashirikiana kwa mambo mengi hasa kihisia.....Sasa utafungua vipi huo ukurasa hali ya kuwa bado upo kwenye kamba za MAISHA yaliyopita.........??
 
We mwenyewe bado huja Move on, Yani Upo upo tu, Siku Akimpost bwana wake Mpya Lazima Roho Ikuume maana Inaonekana bado Unampenda ndo Maana Namba Hujafuta

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uandishi wako ni kiboko, hakuna cha nukta wala kituo!
 
MBlock hilondio suluisho
 
We jamaa hapo umenyanyasika kivipi?
 
Kama vitu vidogo kama hivyo vinakusumbua mpaka unafungua thread, basi mshukuru Muumba wako una maisha marahisi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…