Ex wangu ananinyanyasa kisa kapata kazi

Mzeye huyo bado anamiss mgegedo wako...wee mkaribishe gheto siku ule mbususu hiyo
 
Nenda bar mida hii, agiza bia za moto sita unywe na hivi kesho ni uhuruu [emoji4]
 
Pole sana hebu nitumie namba yake pm nimkanye asifanye ivyo.
 
Hebu tuone hizo status unazoweka.
Isije kuwa wewe ndy unamuanza na vistatus vya mjungu
 
Pipa na mfuniko.

Move on kijana no yake unayo ya nini sasa.


 

Wewe na ex wako ni watoto na utoto ndo unawasumbua. Mkikua mtaacha huo ujinga!
 
Bado mnapendana mnapata wapi ujasiri hata wa kuangalia status za ex wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…