Usi view hizo status zake. Wait mpaka akutumie in boxMimi sijui kama anawasema wengine ila Kwa situation iliyotokea kati Yake na mimi najua tu this is all about me
Nachukiwa vibaya mno
Chanzo ilikua tunadate ila ikaja tukapoteana tulikua tunaonana Kwa season maana alikua chuo baada ya muda kaja kusikia nimezaa na pisi ingine niliamua kumwambia tu ukweli maana kumdanganya it's like I deny my kid kitu ambacho si kizuri and toka apo ni ugomvi usio Isha mpaka tukaachana, najua ananikubali tu pamoja na yote na anateseka uko aliko.
Mm namwombea apate tu ka kijana kampende vizuri aache kutanga tanga anenepe😀😀 but I can't go back
Mwanaume sijui umfanye nini ndio asahau kitumbua. Ila mliachana kwa kawaida tuu lazima akumbuke kitumbua.Futa namba usione, bado unafatilia status zake za nini? Au unamiss kitumbua?
? Mnapendana hadi mnafuatiliana status.Mimi sijui kama anawasema wengine ila Kwa situation iliyotokea kati Yake na mimi najua tu this is all about me
Nachukiwa vibaya mno
Chanzo ilikua tunadate ila ikaja tukapoteana tulikua tunaonana Kwa season maana alikua chuo baada ya muda kaja kusikia nimezaa na pisi ingine niliamua kumwambia tu ukweli maana kumdanganya it's like I deny my kid kitu ambacho si kizuri and toka apo ni ugomvi usio Isha mpaka tukaachana, najua ananikubali tu pamoja na yote na anateseka uko aliko.
Mm namwombea apate tu ka kijana kampende vizuri aache kutanga tanga anenepe😀😀 but I can't go back
Nalo neno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We umejuaje kama Ex wake ni Mimi mkuu usipende kujipa credits ma Ex zake tumetulia zetu.
Nimemuaomba hata namba ya ex wake nimkanye kagomaa.. hayupo serious huyu 😅😅😅When i read between the line, naona kama bado unampenda pamoja na kwamba umepata dem mpya
Kwahiyo akikutafuta unaisave tena? Mmekutana chupa na mfunikoNafuta ananitafuta baada ya muda fulani
Hapo ananisema Mimi niliempiga chini mara ya mwisho wakati tupo chuo.. hauhusiki hapoMimi sijui kama anawasema wengine ila Kwa situation iliyotokea kati Yake na mimi najua tu this is all about me
Nachukiwa vibaya mno
Chanzo ilikua tunadate ila ikaja tukapoteana tulikua tunaonana Kwa season maana alikua chuo baada ya muda kaja kusikia nimezaa na pisi ingine niliamua kumwambia tu ukweli maana kumdanganya it's like I deny my kid kitu ambacho si kizuri and toka apo ni ugomvi usio Isha mpaka tukaachana, najua ananikubali tu pamoja na yote na anateseka uko aliko.
Mm namwombea apate tu ka kijana kampende vizuri aache kutanga tanga anenepe😀😀 but I can't go back