Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa una view za nini.Mimi sijui kama anawasema wengine ila Kwa situation iliyotokea kati Yake na mimi najua tu this is all about me
Nachukiwa vibaya mno
Chanzo ilikua tunadate ila ikaja tukapoteana tulikua tunaonana Kwa season maana alikua chuo baada ya muda kaja kusikia nimezaa na pisi ingine niliamua kumwambia tu ukweli maana kumdanganya it's like I deny my kid kitu ambacho si kizuri and toka apo ni ugomvi usio Isha mpaka tukaachana, najua ananikubali tu pamoja na yote na anateseka uko aliko.
Mm namwombea apate tu ka kijana kampende vizuri aache kutanga tanga anenepe[emoji3][emoji3] but I can't go back
Unayapenda na wewe 😁Sasa hapa wengn tuna view kama routine ila katika pita pita unakutana na kijembe kinakuhusu
Unamuombes kwa jina la nani?Mm namwombea apate tu ka kijana kampende vizuri aache kutanga tanga anenepe😀😀 but I can't go back
Unascreenshot unaleta huku kama kilivyo... Uko sawa kweli mkuu!!Sasa hapa wengn tuna view kama routine ila katika pita pita unakutana na kijembe kinakuhusu
Ila ni hekima ukiblock namba yake vinginevyo utamuacha na huyo pisi kali uliyenaye.Jesus christ
Kwanini nawe una kiherehere cha kusave?Nafuta ananitafuta baada ya muda fulani
Mbona we bado una no zanguKama mmeshaachana namba yake ya nini?
Hajamsahau na hawezi kumsahau, ask me why 😄Kwanini nawe una kiherehere cha kusave?