Ex wangu ananiwekea vijembe status

Ex wangu ananiwekea vijembe status

Futa namba usione, bado unafatilia status zake za nini? Au unamiss kitumbua?
Hapana hii ni ishara dem bado ana muwaza jamaa .mimi kama mimi namshauri awe ana view kama kawaida na asi post kitu chohote kitacho onekana kama ana mjibu .. apo ukute dem ka hide watu wote ana taka jamaa tu ndo aone [emoji16][emoji16]
 
Hapana hii ni ishara dem bado ana muwaza jamaa .mimi kama mimi namshauri awe ana view kama kawaida na asi post kitu chohote kitacho onekana kama ana mjibu .. apo ukute dem ka hide watu wote ana taka jamaa tu ndo aone [emoji16][emoji16]
Sasa asome vijembe ili iweje? Labda kama yupo interested na hayo mambo
 
Hapana hii ni ishara dem bado ana muwaza jamaa .mimi kama mimi namshauri awe ana view kama kawaida na asi post kitu chohote kitacho onekana kama ana mjibu .. apo ukute dem ka hide watu wote ana taka jamaa tu ndo aone [emoji16][emoji16]
🤔🤔Hata mimi nahisi hivyo
 
Back
Top Bottom