Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we naeWanawake wa bongo sijui njaa au hawana akili hata utombe vipi akubali kukuacha , Mimi nawapaga Brock
Mzee baba bado anampenda ex wake hahahaaaYan
Eti mtu humuhitaji na bado anakucheck unasave na namba.
Hizo tunaziachaga hapi bila kusave, tena akikaa vibaya tunafuta sms pasipo kusoma
Aisee so di bolo ya mzee mzabzab ndo inamchanganya mkuu mtafute umpige de liboloGas huisha tunapasha na mkaa
KabisaaaMzee baba bado anampenda ex wake hahahaaa
Siamini kama umefuta 😂Saa kumi na Moja. The rest tumetumia huo mda kuzozana baada ya kumchana aache mambo ya kitoto na show off za kidwanzi😀 akadai namfatilia nikamwambia unaweka status unataka tusiview? Unamfaidisha nani🤣 kipigo kilivomielemea akakimbilia eti ni mblock Kama awali 😀😀 kwann nimemtoa kwenye block mwisho tukakubaliana kufuta namba za Kila mmoja
Futa namba acha kufuatilia kwani kuna kitu ulisahauPia nawe uache utoto😂 kupost status adi nukta
Tupia namba yake kwa wajumbe tumuulize kama uyasemayo ni ya kweli😂😂😂 usikute alikuwa na mwingine wakati akiwa na wewe🙄🙄🙄Mimi sijui kama anawasema wengine ila Kwa situation iliyotokea kati Yake na mimi najua tu this is all about me
Nachukiwa vibaya mno
Chanzo ilikua tunadate ila ikaja tukapoteana tulikua tunaonana Kwa season maana alikua chuo baada ya muda kaja kusikia nimezaa na pisi ingine niliamua kumwambia tu ukweli maana kumdanganya it's like I deny my kid kitu ambacho si kizuri and toka apo ni ugomvi usio Isha mpaka tukaachana, najua ananikubali tu pamoja na yote na anateseka uko aliko.
Mm namwombea apate tu ka kijana kampende vizuri aache kutanga tanga anenepe😀😀 but I can't go back
Kuna watu wanapenda kujitesa, suluhisho analo lakini bado atakubali kuendelea kuteseka.Futa namba usione, bado unafatilia status zake za nini? Au unamiss kitumbua?
imekaa kimtegoNitumie namba yake PM nimkanye