Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
- Thread starter
- #21
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Screenshot hizi message ukazitengenezee Bango kubwa ambalo kila mtu anaweza kusoma uingie nalo siku ya harusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Screenshot hizi message ukazitengenezee Bango kubwa ambalo kila mtu anaweza kusoma uingie nalo siku ya harusi
SawaAcha na huyo kahaba utajitia nuksiii...Na siyo ujanja.
Bwana harusi ana kaziii!
DahhhMambo ya ndoa c utapelii tu mkuu ww endeleaa kula Hela zakee .
k yake muachie huyo muoajii mkuuu
Mabinti wa siku hizi wamefanikiwa kutofautisha ndoa na harusi, na kiukweli ukiangalia ni vitu viwili tofauti, ndoa inafanywa madhabauni , harusi inafanyika nyumbani, tatizo huwezi fanya harusi bila ndoa, so Wana opt ndoa kama daraja la kufanya harusi, ilaa kiukweli, mabinti wengi wangependelea harusi bila ndoa ,coz wanakuwa na wanaowapenda ila hawana uwezo wa kufanya harusi, alafu Kuna Hawa wanaokuja Wana uwezo na vyote, ndoa na harusi ila hawajapendwa , hivo unamtimizia ndoto zake za harusi Kisha tendo la ndoa anakuwa anakamilisha mwingine,Hii ndio mpo ndani halafu anamuwaza msela duh unapiga show yeye anatoa miguno ya kuigiza kumbe moyoni anasema wefala maliza kesho ukienda job niende kwa jamaa yangu,na mpk wanazaa halafu alieoa anajua mwanae duh mtihani sana
Huu ni ufisadi kama ufisadi mwingine ila hapa ni ufisadi wa mapenzi. Mnatakiwa muwe jela wewe na huyo kiumbe mwenzako.Hii wiki mbaya kwangu
Naandika hapa x wa mama mkwe wangu kaninyima chakula🥺
Tuachane na hayo
Huyu X wangu Eliza mchaga wa rombo macho kama anakula kungu shingo mithili ya twiga wa nyalandu shape kama bajaji mapenzi hajui ila anajua kupenda na kutoa hela tatizo la kuachana naye baba yake hapendi niwe nalala kwao na Eliza eti kisa sijamuoa
Sasa eliza anaolewa ila anataka kuendelea na mm nipeni ushauri nifanyaje hapo niachane na eliza mazima
YANGA BINGWA
View attachment 3072518
KheeHuu ni ufisadi kama ufisadi mwingine ila hapa ni ufisadi wa mapenzi. Mnatakiwa muwe jela wewe na huyo kiumbe mwenzako.
Wanawake jau sanakalaga bao... kweli ndoa ni upuuzi, yani watu wametoa mahali uko wapo kwenye hatua za mwisho za kuchukua jiko nyuma ya pazia kuna muhuni anapewa utelezi bure tu tena anadeka kabisa. "Niache kwanza lizzy"
Naombeni namba ya mume mtarajiwa nikamsanue mapema!
Nenda mkuu ukumbushie kidgo🫣🫣Hii wiki mbaya kwangu
Naandika hapa x wa mama mkwe wangu kaninyima chakula🥺
Tuachane na hayo
Huyu X wangu Eliza mchaga wa rombo macho kama anakula kungu shingo mithili ya twiga wa nyalandu shape kama bajaji mapenzi hajui ila anajua kupenda na kutoa hela tatizo la kuachana naye baba yake hapendi niwe nalala kwao na Eliza eti kisa sijamuoa
Sasa eliza anaolewa ila anataka kuendelea na mm nipeni ushauri nifanyaje hapo niachane na eliza mazima
YANGA BINGWA
View attachment 3072518
Achana nae mazima. Hata ww hautapenda mke wako aliweHii wiki mbaya kwangu
Naandika hapa x wa mama mkwe wangu kaninyima chakula🥺
Tuachane na hayo
Huyu X wangu Eliza mchaga wa rombo macho kama anakula kungu shingo mithili ya twiga wa nyalandu shape kama bajaji mapenzi hajui ila anajua kupenda na kutoa hela tatizo la kuachana naye baba yake hapendi niwe nalala kwao na Eliza eti kisa sijamuoa
Sasa eliza anaolewa ila anataka kuendelea na mm nipeni ushauri nifanyaje hapo niachane na eliza mazima
YANGA BINGWA
View attachment 3072518
kamuweke miti tu hakuna jinsiWanawake jau sana
Yanga bingwa Cc ephen_Hii wiki mbaya kwangu
Naandika hapa x wa mama mkwe wangu kaninyima chakula🥺
Tuachane na hayo
Huyu X wangu Eliza mchaga wa rombo macho kama anakula kungu shingo mithili ya twiga wa nyalandu shape kama bajaji mapenzi hajui ila anajua kupenda na kutoa hela tatizo la kuachana naye baba yake hapendi niwe nalala kwao na Eliza eti kisa sijamuoa
Sasa eliza anaolewa ila anataka kuendelea na mm nipeni ushauri nifanyaje hapo niachane na eliza mazima
YANGA BINGWA
View attachment 3072518
Kvp yani 😳Kwahyo umetumia line yako nyingine kujitumia sms ili uje uku utushweshe chai bila sukari?
HahahKwaio unaenda kama mume namba 02