Ex wangu anataka niende kwenye harusi yake

Ex wangu anataka niende kwenye harusi yake

Huyu demu atakuwa na Pepo la ngono kitaalamu mwanamke hatakiwi kutamani mapenzi bila kuwa na utaratibu na ikitokea kama hivi tambua huyu mwanamke ni pepo mchafu kiufupi awezi kuondoa hicho kitu kichwani mwake, ushauri wangu acha kuendeleza mahusiano ambayo tayari yalikwisha hii ni kwa usalama wako pamoja na familia yako.

Tambua kuna magonjwa na pia jaribu kuvaa viatu vya huyo kiumbe mwenzako vipi ungekuwa wewe una megewa ungejisikiaje?

Kijana smart hafanyi mambo haya ya kuharibu mahusiano ya watu acha maisha yaendelee kwani zama zenu zilikwisha.

Ukipuuzia we mshenzi ukija kwenye harusi yangu kwa nia ya kuonana na mke wangu nitakutoa pumb* live bila chenga 😂😂😂
Mturutumbi wa wapi😁
 
Siyo chai,yapo kweli,sema wwe labda hayajakukuta,ila hapa mwanaume ndiyo unatakiwa uwe na msimamo,japokua ukikataa atadiliki hata kukuuliza au siku hizi hausimamishi kama mwanzo!? Mradi tu akutie hasira ili ukampeleke moto kisawasawa!!
Yapo kweli ila hii yake ni chai
 
Back
Top Bottom