Ex wangu anataka niende kwenye harusi yake

Hii ndio mpo ndani halafu anamuwaza msela duh unapiga show yeye anatoa miguno ya kuigiza kumbe moyoni anasema wefala maliza kesho ukienda job niende kwa jamaa yangu,na mpk wanazaa halafu alieoa anajua mwanae duh mtihani sana
Mabinti wa siku hizi wamefanikiwa kutofautisha ndoa na harusi, na kiukweli ukiangalia ni vitu viwili tofauti, ndoa inafanywa madhabauni , harusi inafanyika nyumbani, tatizo huwezi fanya harusi bila ndoa, so Wana opt ndoa kama daraja la kufanya harusi, ilaa kiukweli, mabinti wengi wangependelea harusi bila ndoa ,coz wanakuwa na wanaowapenda ila hawana uwezo wa kufanya harusi, alafu Kuna Hawa wanaokuja Wana uwezo na vyote, ndoa na harusi ila hawajapendwa , hivo unamtimizia ndoto zake za harusi Kisha tendo la ndoa anakuwa anakamilisha mwingine,
 
Huu ni ufisadi kama ufisadi mwingine ila hapa ni ufisadi wa mapenzi. Mnatakiwa muwe jela wewe na huyo kiumbe mwenzako.
 
kalaga bao... kweli ndoa ni upuuzi, yani watu wametoa mahali uko wapo kwenye hatua za mwisho za kuchukua jiko nyuma ya pazia kuna muhuni anapewa utelezi bure tu tena anadeka kabisa. "Niache kwanza lizzy"



Naombeni namba ya mume mtarajiwa nikamsanue mapema!
 
Wanawake jau sana
 
Nenda mkuu ukumbushie kidgo🫣🫣
 
Achana nae mazima. Hata ww hautapenda mke wako aliwe
 
Yanga bingwa Cc ephen_
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…