Ex wangu nampenda ila kampa mimba mwanamke mwingine

Kuweka mawasiliano na ukaribu na x ni sawa na kutembea na muwa kama mkongoja wako, mwisho utakua,haya sasa amua uendelee kua Mua ama utupe pingili na maganda yake usonge mbele!!
 
Sasa Kazaa na huyo anataka azae na mimi tena mpk sasa hajui nani anamuoa… huwezi kuwa seriously sizani Kama ningekuwa ndugu yako ungenishauri hivi
Anataka kuzaa na wewe huo ni uamzi wake hakuna kesi wal sheria inabana, wewe unashindwa nini kusema hutaki na mahusiano yaishe mpaka unalalama tu hapa umeshikiwa fimbo.

Wanawake munapenda mpaka kupangiwa maamuzi hayo maamuzi yake mwanaume wewe fanya yako.
 

Sawa dear tutazaa akimaliza ujana nitakuwa mke wa 7
 
Kwanza haujieelewi binti, pia haujui unataka nini.
Pili sina cha kukushauri zaidi ya kukusisitiza ufanye kile utakacho ona kinakufaa pasipo kuomba ushauri kwa mtu yeyote.

Ok
 
Yaani mwanamke miaka 23 unajiona mdogo kuzaa?
Mwanamke umri ukishafika miaka 21 tu ujue soko lako litaporomoka kila uchwao maana hapo unakimbilia kwenye 30's ambapo ni mshangazi tayari.

Usiniponze mimi nikajiona Mzee nikavaa kila dume… watu wanaolewa mpk Miaka 40 sembuse mimi mtoto wa jana

Unataka nizae na mtu ambayo yeye wenyewe ana Miaka 23 hajajielewa anataka nini kisa et ananipenda ama umri umefika unajua kama umri huo nilikuwa masomoni kwaiyo niache kusoma nibebe mimba kisa kuogopa kuwa shangazi
 
Hakuna tatizo hapo. Funga naye ndoa na mpe watoto. Hataki ndoa hapo ingia mitini. Njemba kuzaa hapa TZ kwa vijana wa kiume ni JANGA LA TAIFA! Ng'ang'ania hapo hapo! Raha kuzaa na mwanaume umpendaye dada. Uyo mwingine atajiju. Ila mtoto wa jamaa lazima mumtunze..
 
Binafsi nasimama na mtoa mada huwezi kubali kubeba ujauzito wakati hujui hatma yenu ya mahusiano

Mwisho wa siku aje kupondwa hapa kisa single mom kama hujaolewa na matumaini ya kuolewa epuka kuzaa mapema full stop.
Upo sahihi, ila sababu kuu ya mtoa mada umri kuwa bado eti ni haraka wao kuzaa.

Atakuwa sahihi akiwa na sababu yoyote ile mwili ni wake haranguing kinachoshangaza anakuja kuingilia maamuzi ya watu anaandika as if anashangaa wapenzi kuzaa mtoto ndani ya mwaka mmoja...Hii akili.
 


Hivi watoto mnafanya mambo ambayo hata wazazi wenu hatufanyi, kijana wa miaka 25 anaishi na mwanamke x, anataka ampangishie mwanamke Y nyumba, anazaa kisa atafuta mrithi akifariki.
 
Utoto raha sana....kwahiyo utapindua na mimba ya mwenzio au unataka akuhamishie [emoji1787]

Nipo kwenye novena liwalo na liwe… nipo namuombea hapa hiyo mimba awe amesingiziwa mtoto sio wake yaani kiufupi mwanamke ampige tukio kubwa zaidii [emoji2]
 
Sawa mimi siwezi kuzaa na mwanaume ambae sio mume labdaa itokee bahatii mbaya siwezi ku risk maisha yangu anaenipenda na mwenye utayari wa kuoa kwa wakati huo hanaga hizo slogan za nizalie mtoto kizazi changu sio cha majaribio
Kwa sababu zako ulizosema hapa unaweka Excuse, hata akikwambia muaone huyo mwanaume ungesema mapema yote umri huu unawahi nini mtu wa miaka 25....Seems una twist kulingana na kuzodolewa.

Short, your current institution ni ku date for fun na kuchezeana sio na upo tayari kudate na mwanaume hata miaka saba na usione tatizo.
 
Binafsi nasimama na mtoa mada huwezi kubali kubeba ujauzito wakati hujui hatma yenu ya mahusiano

Mwisho wa siku aje kupondwa hapa kisa single mom kama hujaolewa na matumaini ya kuolewa epuka kuzaa mapema full stop.

Wewe umenielewa wengi humu ni wanafki hivi kijana tupo age moja na anakwambia wenzangu wote wana watoto kasoro mimi naomba unizalie… maana yake mtoto ana thamani kuliko mimi Halafu nichanue tu nizae nae sina kazi nipo nipo tu aya ndy tukashindwana sasa akanizila mtoto analelewaje…. Tena kwa kazi afanyayo kila siku ana Hama huko anakutana na wanawake wapya na anakwambia nitaoa nikifika 30… sasa mna Miaka 23 mzae mpk anafika 30 anaoa kigori mimi ananitelekeza na mwanangu
 

Sawa
 
Unasema anashinda akikutumia message na kukupigia kwani simu yako Haina option ya " block this contact"?

Hata hivyo,huyo jamaa anataka tu kukufanya sex toy wake akikupangia chumba haimaniishi atakuwa amekuoa.
Akikosana na mke wako huko atakuwa anakuja kwako kupooza maumivu.

AKILI KUMKICHWA!!
 

Sasa hiyo comments uliotagg nilimjibu kutokana na alichoniuliza kwenye mada yangu nafikirii umeona nilichouliza… achana na comment maana najibu kutokana na mtu alivyouliza
 
Kuweka mawasiliano na ukaribu na x ni sawa na kutembea na muwa kama mkongoja wako, mwisho utakua,haya sasa amua uendelee kua Mua ama utupe pingili na maganda yake usonge mbele!!

Huyu tumerudiana since mwaka uanze sema huu ugomvi na wa majuzi so nimeita ex hivyohivyo
 

Wewe mbona unakurupuka kwenye comments za watu si na wewe uchangie zako nikujibu
 
Kadogo2 mi nimeshakupenda sijui kwa nini anyway nimeona una upendo wa dhati ila ex wako kashindwa kuuona
 
Aliyepeana mimba yeye Kapokea, Kwani wewe ukipatiwa na wewe utakataa!? Mungu alihasa zaeni Muongezeke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…