Ex wangu nampenda ila kampa mimba mwanamke mwingine

Ex wangu nampenda ila kampa mimba mwanamke mwingine

Nimerudii tena mimi kadogo2 safari hii nina majonzi


Kuna story nilishaitoaga hapa kuhusu kumuacha Ex wangu kwa mambo Fulani fulani.. sasa bhn sababu kubwa niwe mkweli huyu ex wangu alikuwa anashauku sana ya kuwa na mtoto yaani hii ndio sababu ilifanya nikamuacha

Mimi na ex wangu Kama hajanidanganya Miaka yake basi tupo Sawa 25 kanizidi miezi michache tu yaani wote tuna Miaka 25

Kipindi tunakutana tulikuwa na Miaka 23 alitaka nimzalie ila sikufanya hivyo.. ugomvi ulipotokea tukaachana Kama mwaka hivi ila ndani ya huo mwaka tunatafutana tunarudiana tunaachana tenaa

Sasa mahusiano yalirudi rasmi kuanzia mwezi wa 3 mwaka huu tena yeye akilazimisha zaidii turudiane nikaona Hakuna tatizo maana mimi pia nilikuwa single

Kilichonileta hapa ex wangu nimegundua kuwa anaishi na mwanamke mwinginee tena huyo mwanamke ana ujauzito wake.. niligundua kupitia ndugu yake maana huwa nawasiliana nae nikaomba anichunguzie maana kuna vitu niliona sivielewi.. maana yeye kapanga mkoa X na anafanyia kazi mkoa mwinginee.. nilimuulizaga kwake anakaa nani akawa hana majibu ya kueleweka ikabidi nimuulize ndugu yake ndio kuniambia kuwa kuna mdada anamuonaona pale inasemekana wanaishi wote ila hakuniambia suala la kuwa mjamzito hilo niliambiwa na muhusika mwenyewe

Sasa ex wangu katika kuongeaongea akaanza kunilaumu kwanini nilimuacha mwaka mzima.. ikabidi nimuulize kama kuna mtu yupo nae.. akaniambia kweli anae mtu na hawezi kumuacha kwasababu ana mtoto wake tumboni..

Imebidi nishangae ndani ya mwaka mtu katafuta mwanamke na kampachika ujauzito alikuwa na haraka gani ya kufanya hivyo.. kumbuka ndani ya huo mwaka sio kwamba tuliachana moja kwa moja tulikuwa tunawasiliana sana na tunarudiana tunagombana tena tunapumzishana

Namuuliza kwanini umefanya hivyo anasema kwamba mimi nilimnyima mtoto na yeye hajui atakufa lini Akifa ghafla nani atarithi mali zake… kusema ukweli hili jambo limeniumiza sana sanaa sijaumia yeye kuwa na mtu kilichoniuma ni yeye kumpa na mimba juu huyo mdada… kusema ule ukweli mimi tangu niachane nae niliamua kutulia tu sikuhitaji mwanaume… maana nilijipa muda wa kutuliza akili ila sikutegemea mwenzangu amemoveon kiasi hiki

Nimemuuliza kuhusu mimi na yeye uhusiano wetu unakuaje anasema mimi ananipenda na hataki kuniacha ila yule mwanamke ana mtoto wake hivyo hawezi kumuacha pia.. kiufupi ni kuwa anatutaka wote

Mimi huyu mwanaume nina mpenda ila sasa nitakuaje nae na tayari kuna mwanamke ana mimba yake na mbaya zaidi kamuweka kwake Halafu anataka na mimi anipangie sehemu nyingine

Daah hata Kama ni malipo ila haya ni too much.. kwani mimi nilifanya makosa gani Miaka 23 kweli anataka tuzae hata ingekuwa ni wewe ungenishauri nimuache

Naombeni ushauri wowote tu nifanye nini juu ya hili jambo
Navoandika hapa ananitumia sms kila saa na nimeshamwambia sitaki anitafute ila bado hakomi huyu anataka nini kwangu jmn [emoji24][emoji24]
Wewe ni moyo wako au akili yako inataka kipi?
Japo naamini kama mnavurugana then mnarudiana afu ana mwingine bado aNakukumbuka ujue huyo ni wako na wewe ni wake kule kwa mwingine ni Ulilazimisha aende huko pamoja na kutia mimba bado wewe ndo chaguo lake
 
Ulisema muna 25 wote ninyi ni watu wazima tiali, wazazi wanahusiakaje na maamuzi yenu watu wazima wa 25 kama watoto aisee.

Kupata mtoto sio mkumbo ni nature kila binadamu ataxia haikimbiki hio kuangalia mkumbo ni very miner through kuna wanaozaa bila maturation mimba shuu

You and him is done, Move on na tafuta mwengine utayeendana nae through Duania ya leo kupata munaendana maono ni Sokabet mzee, you need to play smart.

Kuendelea kubakinae na kumpa lawama has nothing to change yeye kashatimiza maono yake na yasha destruct mahusiano yetu hukana kitu utafanya kufix tena.

Sasa hivi ndio tuna iyo Miaka kipindi ananiambia hivi tulikuwa na 23
 
Ningeweka hapa text zake sema ni kumchoresha jamaa na nimechokaa kuandika kila kitu
Nilichoandika hapo ndio unakirudia, hata aandike text gani sijui anataka umpe ChatGPT Logo au Operamini bado huo ni upande wake yeye. Wewe simama na upande wako.
 
Wewe ni moyo wako au akili yako inataka kipi?
Japo naamini kama mnavurugana then mnarudiana afu ana mwingine bado aNakukumbuka ujue huyo ni wako na wewe ni wake kule kwa mwingine ni Ulilazimisha aende huko pamoja na kutia mimba bado wewe ndo chaguo lake

Moyo wangu unampenda na akili yangu ina mtaka tatizo ni ameshaaribu tayari kuzaa na mwinginee ninaomba Mungu hata hiyo mimba isiwe ya kwake
 
Moyo wangu unampenda na akili yangu ina mtaka tatizo ni ameshaaribu tayari kuzaa na mwinginee ninaomba Mungu hata hiyo mimba isiwe ya kwake
Kama yupo na wewe huku akiwa na mwanamke mwengine tena mwenye mimba yake na sio siri unajua na bado sio tatizo wewe kuanae. Kifupi ni thamani imekwisha kwa huyo mwanaume na mwanaume mwengine yeyote atakuja kwako kwa nia njema.

Sasahivi una 25 kama ujajielewa mapema na kujiondoa kwenye hili tatizo utaoana jinsi miaka 29 inafika kwa haraka.
 
Nilipata first born wangu hivo hivo, michezo ya kitoto. Utoto mbaya sana. Watu hawaelewi kuna Mungu kabla ya maugomvi haya. Binti alijuta sana yule, alikataa mtoto akawaza ujana. Nikafanikiwa kupata mtoto the very time tumeachana , tunakuja kukutana tena, anataka kurudi na mimi nina mtoto. Hakuwa na uwezo wa maamuzi afanye vipi, akijileta napiga naacha, one night stand not staying anymore. Au awe siide chick milele.
 
Wewe ni moyo wako au akili yako inataka kipi?
Japo naamini kama mnavurugana then mnarudiana afu ana mwingine bado aNakukumbuka ujue huyo ni wako na wewe ni wake kule kwa mwingine ni Ulilazimisha aende huko pamoja na kutia mimba bado wewe ndo chaguo lake

IMG_2632.jpg
 
Nilipata first born wangu hivo hivo, michezo ya kitoto. Utoto mbaya sana. Watu hawaelewi kuna Mungu kabla ya maugomvi haya. Binti alijuta sana yule, alikataa mtoto akawaza ujana. Nikafanikiwa kupata mtoto the very time tumeachana , tunakuja kukutana tena, anataka kurudi na mimi nina mtoto. Hakuwa na uwezo wa maamuzi afanye vipi, akijileta napiga naacha, one night stand not staying anymore. Au awe siide chick milele.

Sawa nitasubiri Mungu alieniandalia huyu hakuwa wangu
 
Kama yupo na wewe huku akiwa na mwanamke mwengine tena mwenye mimba yake na sio siri unajua na bado sio tatizo wewe kuanae. Kifupi ni thamani imekwisha kwa huyo mwanaume na mwanaume mwengine yeyote atakuja kwako kwa nia njema.

Sasahivi una 25 kama ujajielewa mapema na kujiondoa kwenye hili tatizo utaoana jinsi miaka 29 inafika kwa haraka.

Sawa mekupata
 
Nimerudii tena mimi kadogo2 safari hii nina majonzi


Kuna story nilishaitoaga hapa kuhusu kumuacha Ex wangu kwa mambo Fulani fulani.. sasa bhn sababu kubwa niwe mkweli huyu ex wangu alikuwa anashauku sana ya kuwa na mtoto yaani hii ndio sababu ilifanya nikamuacha

Mimi na ex wangu Kama hajanidanganya Miaka yake basi tupo Sawa 25 kanizidi miezi michache tu yaani wote tuna Miaka 25

Kipindi tunakutana tulikuwa na Miaka 23 alitaka nimzalie ila sikufanya hivyo.. ugomvi ulipotokea tukaachana Kama mwaka hivi ila ndani ya huo mwaka tunatafutana tunarudiana tunaachana tenaa

Sasa mahusiano yalirudi rasmi kuanzia mwezi wa 3 mwaka huu tena yeye akilazimisha zaidii turudiane nikaona Hakuna tatizo maana mimi pia nilikuwa single

Kilichonileta hapa ex wangu nimegundua kuwa anaishi na mwanamke mwinginee tena huyo mwanamke ana ujauzito wake.. niligundua kupitia ndugu yake maana huwa nawasiliana nae nikaomba anichunguzie maana kuna vitu niliona sivielewi.. maana yeye kapanga mkoa X na anafanyia kazi mkoa mwinginee.. nilimuulizaga kwake anakaa nani akawa hana majibu ya kueleweka ikabidi nimuulize ndugu yake ndio kuniambia kuwa kuna mdada anamuonaona pale inasemekana wanaishi wote ila hakuniambia suala la kuwa mjamzito hilo niliambiwa na muhusika mwenyewe

Sasa ex wangu katika kuongeaongea akaanza kunilaumu kwanini nilimuacha mwaka mzima.. ikabidi nimuulize kama kuna mtu yupo nae.. akaniambia kweli anae mtu na hawezi kumuacha kwasababu ana mtoto wake tumboni..

Imebidi nishangae ndani ya mwaka mtu katafuta mwanamke na kampachika ujauzito alikuwa na haraka gani ya kufanya hivyo.. kumbuka ndani ya huo mwaka sio kwamba tuliachana moja kwa moja tulikuwa tunawasiliana sana na tunarudiana tunagombana tena tunapumzishana

Namuuliza kwanini umefanya hivyo anasema kwamba mimi nilimnyima mtoto na yeye hajui atakufa lini Akifa ghafla nani atarithi mali zake… kusema ukweli hili jambo limeniumiza sana sanaa sijaumia yeye kuwa na mtu kilichoniuma ni yeye kumpa na mimba juu huyo mdada… kusema ule ukweli mimi tangu niachane nae niliamua kutulia tu sikuhitaji mwanaume… maana nilijipa muda wa kutuliza akili ila sikutegemea mwenzangu amemoveon kiasi hiki

Nimemuuliza kuhusu mimi na yeye uhusiano wetu unakuaje anasema mimi ananipenda na hataki kuniacha ila yule mwanamke ana mtoto wake hivyo hawezi kumuacha pia.. kiufupi ni kuwa anatutaka wote

Mimi huyu mwanaume nina mpenda ila sasa nitakuaje nae na tayari kuna mwanamke ana mimba yake na mbaya zaidi kamuweka kwake Halafu anataka na mimi anipangie sehemu nyingine

Daah hata Kama ni malipo ila haya ni too much.. kwani mimi nilifanya makosa gani Miaka 23 kweli anataka tuzae hata ingekuwa ni wewe ungenishauri nimuache

Naombeni ushauri wowote tu nifanye nini juu ya hili jambo
Navoandika hapa ananitumia sms kila saa na nimeshamwambia sitaki anitafute ila bado hakomi huyu anataka nini kwangu jmn [emoji24][emoji24]
Kama anaishi na mwanamke mwingine achana naye
 
Kublock mtu ni sawa na kumuua kwa kutumia tofari la block, uzito ni ule ule, usije kufanya hivyo kwa mtu yeyote.

Badala ya kumblock, pokea simu yake kisha kama ni mpuuzi, mchane direct.
 
[emoji3][emoji3]ndio nampenda na nataka sana kuanza maisha na yeye sema naogopa sana wanawake wa siku hizi wanaroga asije akanipiga kipapai
Hakuna kitu kama hiko. Tena usiamini kabisa upuuzi huo...
Amini dini tu. Vipapai sijuwi nini ni kwa wajinga tu...
 
Kadogo2 mi nimeshakupenda sijui kwa nini anyway nimeona una upendo wa dhati ila ex wako kashindwa kuuona
Mkuu tatizo la mapenzi hufuata mkondo wa moyo wa mhusika, hayaendi kwa mfumo wa bidhaa.

Waweza mpendea sababu ulizozitaja hapa, lakini mkikutana naye live waweza usimpende, mapenzi yana vipengele vingi sana.
 
Back
Top Bottom