TADPOLE
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 2,914
- 9,472
Mkuu jamaa yetu anahitaji ushauri unataka kusema ule wako tu post ya kwanza ndio unaomtosha haitaji ushauri kutoka kwa watu wengine?[emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu jamaa yetu anahitaji ushauri unataka kusema ule wako tu post ya kwanza ndio unaomtosha haitaji ushauri kutoka kwa watu wengine?[emoji3][emoji3]
Kapoteza simu hata tukimpa ushauri ni kazi bure.Mkuu jamaa yetu anahitajo ushauri unataka kusema ule wako tu post ya kwanza ndio unaomtosha haitaji ushauri kutoka kwa watu wengine?
[emoji23][emoji23][emoji23] ila jamaa ana mashavu wallah!,mashavu kama sidiria dahKapoteza simu hata tukimpa ushauri ni kazi bure.
[emoji23][emoji23][emoji23] ila jamaa ana mashavu wallah!,mashavu kama sidiria dah
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe sababu anaijua sasa anataka kurudi kwani mashavu yamepungua au!?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji15][emoji15][emoji15] [emoji15] Huwenda hayo mashavu ndiyo chanzo cha mapenzi yao kuvunjika.
Hahahahahaha, basi habari za ngudu mkuu?Aisee kwanini hujaniulizia hata habari za Simiyu? Yaani naonekana wa Kigoma kweli?
Mimi sikai na jamii hiyo mkuu. Endelea kubahatisha.Hahahahahaha, basi habari za ngudu mkuu?
Waah!nimechokaa [emoji19]Mimi sikai na jamii hiyo mkuu. Endelea kubahatisha.
Waah!nimechokaa [emoji19]
Kumbee [emoji16]upo maeneo gani?Nipo Dar na mimi kama wewe tu.
Kumbee [emoji16]upo maeneo gani?
Hapa wanapopiga picha za Passport kwa dakika 3 karibu na kibanda cha chips.
Kabisa naijua mwenyewe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akili yako unaijua mwenyewe
Kabisa mbao za mawe.Kabisa naijua mwenyewe.
Kabisa mbao za mawe.
[emoji23][emoji23]Wewe unataka mchumba?Poa, wewe hutaki mchumba?
[emoji23][emoji23]Wewe unataka mchumba?
Mtoa mada wewe ni msukuma??!!
[emoji15][emoji15][emoji15]Kwa hiyo mishavu yake atakuwa ndiye tu, humuoni wewe?
haha. sidhani bana