EX wife wako akikujibu hivi Baada ya majibu ya DNA. Utachukua uhamuzi gani?

Lakini.....
Hadi wanafikia hatua hiyo, minaona shida ilianzia kwa mwanaume kuto kua na uwezo kutambua kama huyo ni mke wake ama anafunga ndoa na mke wa mwanaume mwingine.
Na kwamajibu hayo, niwazi mke alihitaji zaidi harusi kuliko ndoa.
Exactly, alishindwa kufanya vetting. Hakuwa na mbinu za kivita.
 
Kwa akili hizi lazima kulea mtoto asiyewako, kumbe wanaume kuzini ni haki yenu kwakuwa wanawake hawawezi thibisha mmezini kabla ya ndoa
Sijasema ni haki namaanisha kuwa ni ngumu kujua kama mwanaume amewahi lala na mwanamke
 
Sasa madam haha matusi mimi nimeongelea kwa wanaume juu ya wanawake.
Kama wewe unaweza kuthibitisha mume wake amewahi lala na mwanamke mwingine sawa kama ujawahi kumuona kwa macho .

Kama nyie mnaweza sawa.

Kwenye mahusiano hadi ndoa hakuna mwanamke anayejali kama mwanaume wake ameshawahi kulala na mwanamke kabla yake

Kuhusu kuthibitisha utajua wewe na Mungu wako uliyemtaja hapo juu
 
It's really sad, same thing happened to my friend.
Muhimu kitanda hakizai haramu
 
Kuoa mwanamke ambae wahuni wameshamburuza vya kutosha ni kujitafutia lawama tu, chance ya kuburuzwa tena ipo hata kama ameolewa.
 
Haya ndo madhara ya kuoa mwanamke asiyekupenda, we unaforce tu.

Ukioa mwanamke aliyekupenda sana, hawezi leta mtoto wa nje.
Nipo pale, tafuta huyo anayekupenda sana ufikiri hutakiona chamoto. Wanawake wanaendeshwa na hisia hivyo hubadilika kila kukicha. Akupende wewe sana kwani umemzaa[emoji23][emoji23][emoji23], acheni fairly tales.
 
Hivi mpaka leo watoto ni kitu cha kuweka mashaka awe wako asiwe wako lea ukijua sio muache aende kwa baba yake ukiwa na misimamo yako hayo mambo hayasumbui
 
Nipo pale, tafuta huyo anayekupenda sana ufikiri hutakiona chamoto. Wanawake wanaendeshwa na hisia hivyo hubadilika kila kukicha. Akupende wewe sana kwani umemzaa[emoji23][emoji23][emoji23], acheni fairly tales.
Akibadilika basi , unaachana naye.
Mbona simple tu.

Tatizo mnaishi kwa kuogopa na kutojiamini. Mnaachana kwa wema, maisha yanasonga, na urafiki unakufa hapohapo. End of discussion, ila mkikutana mnasalimiana , hakuna maneno mengi, unapita hivi unaendelea na mambo yako. Wewe ni wa thamani na thamani ya mwanaume inaongezeka kila siku hata kama huna kitu, unajiupgrade , unaweka malengo, unafika maeneo fulan hivi.
 
Mwana mke anaye kupenda unamjuaje? maana hata hao walio letewa watoto wa nje wali amini wanapendwa na hao wake zao.
 
Mwana mke anaye kupenda unamjuaje? maana hata hao walio letewa watoto wa nje wali amini wanapendwa na hao wake zao.
Hii kitu utakielewa kwenye stage ya mahusiano kabla ya ndoa.
 
Kivipi elezea mkuu.
Kuelezea ni ngumu maana ni complex sana. Na sababu ni kwamba wanawake hawafanani ila Kuna tabia moja tu wanayo in common.

Mwanamke anayekupenda utamjua wakati una shida au financial ruin. Asiyekupenda hatakuvumilia kwenye stage hiyo.
 
Hivi Kuna watu Bado wanatesekea mapenzi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…