EX wife wako akikujibu hivi Baada ya majibu ya DNA. Utachukua uhamuzi gani?

Kuna mambo Ni vizuri kuacha kuyafuatilia Sana maana unaweza kuwa unajitafutia presha za bure tu.
 
huhamuzi wangu nitakaochukua ni kumshukuru Mungu kwa jaribu hilo,
na kusonga mbele kwa bidii sana kusaka watoto walio wangu, kwa Neema na Baraka za Mungu.

Yaliyopita si ndwele naganga yajayo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ