MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
OMBA YASIKUKUTE...Haya ndo madhara ya kuoa mwanamke asiyekupenda, we unaforce tu.
Ukioa mwanamke aliyekupenda sana, hawezi leta mtoto wa nje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OMBA YASIKUKUTE...Haya ndo madhara ya kuoa mwanamke asiyekupenda, we unaforce tu.
Ukioa mwanamke aliyekupenda sana, hawezi leta mtoto wa nje.
Wanaume tuache kuamini mwanamke eti mkeo kisa mpo kwenye ndoa unaona mimba hio na wewe unaona ni yako.
Kwani ulimuoa bikira. Sasa kama ulimuoa umekuta tobo tuu inamaana hakuwa mwaminifu kwa MUNGU mpaka akatoa sasa iweje awe muaminifu kwako?
Tuache kuamini mwanamke anakuambia mimba ua mtoto ni wako na ME utakuta sawa tuu. Ndo maana tunadanywa sana 😅😅🤣.
Sasa mwanaume mwenzetu huku nigeria majibu ya ex wife yake Baada ya DNA test kuonyesha mtoto siwake.
View attachment 2771724
Kwa maneno hayo ya dada hapo ni kwamba wanaume tuache kuamini mtoto anaweza kuwa wako nenda kahakikishe.
Lakini kwa upande mwingine unaweza sema yupo sawa huyo dada. Lakini kwani kwenda kusaini cheti cha kuzaliwa kwa nini hakumzuia mume wake hasisaini cheti cha kuzaliwa cha mtoto?
Haya ndo madhara ya kuoa mwanamke asiyekupenda, we unaforce tu.
Ukioa mwanamke aliyekupenda sana, hawezi leta mtoto wa nje.
Yani unangoja miaka 18 ipite?Unaishi wapi?????? Jupiter? Mimi nangoja wangu afike 18 tu mwaka wa kwanza chuo nikapime DNA, nimewacha tu asome kwa amani, nitimize wajibu wangu, ila nahisi ndivyo sivyo.
Yani unangoja miaka 18 ipite?
Aisee..!!Yap, nikifanya kabla nitashindwa somesha mtoto kwa amani, na hana kosa, ngoja asome mpaka form six angalau. Hata kama naachana naye anaweza endelezeka na wahusika.
Aisee..!!
Kwani hamfanani?Unaishi wapi?????? Jupiter? Mimi nangoja wangu afike 18 tu mwaka wa kwanza chuo nikapime DNA, nimewacha tu asome kwa amani, nitimize wajibu wangu, ila nahisi ndivyo sivyo.
We yalikukuta,?OMBA YASIKUKUTE...
Naishi Earth mkuu.Unaishi wapi?????? Jupiter? Mimi nangoja wangu afike 18 tu mwaka wa kwanza chuo nikapime DNA, nimewacha tu asome kwa amani, nitimize wajibu wangu, ila nahisi ndivyo sivyo.
Utajuaje?Haya ndo madhara ya kuoa mwanamke asiyekupenda, we unaforce tu.
Ukioa mwanamke aliyekupenda sana, hawezi leta mtoto wa nje.
Hivi ukimini ni wanao, ukawalea kwa upendo, wanakupenda na unawapenda kuna madhara?Nadhani kila mmoja huwa anaingia kwenye mahusiano akiwa na sababu zake binafsi. Matokeo yake ndo kulea watoto wa mwanaume mwingine na blaa blaa nyingi.
Yeah madhara yapo mbeleni na nimeyaona: watoto wakishajua kuwa aliyewalea si baba yao basi watahangaika kutafuta asili yao alafu cha ajabu watamjali huyo ambaye hakuwalea alafu huyu mwingine aliyetoa jasho na damu wanamtupa. Ni watoto wachache sana wanakumbuka fadhila.Hivi ukimini ni wanao, ukawalea kwa upendo, wanakupenda na unawapenda kuna madhara?
DNA mnajitakia sumu za bure
Na zikipotea hupendwi si ndio?Utajuaje?
Ukiwa na pesa unapendwa hadi unajishangaa.
Yaani kila mrembo anakupenda
Ogopa sana kupendwa ukiwa na kitu. Ukitaka mke wa ndoa mpeme sana hasa eneo ls pesa, jifanye hata bahili kupitiliza uone kama utapendwaNa zikipotea hupendwi si ndio?
Basi hapo ushajua.
Uko sahihi.Ogopa sana kupendwa ukiwa na kitu. Ukitaka mke wa ndoa mpeme sana hasa eneo ls pesa, jifanye hata bahili kupitiliza uone kama utapendwa