EX wife wako akikujibu hivi Baada ya majibu ya DNA. Utachukua uhamuzi gani?

EX wife wako akikujibu hivi Baada ya majibu ya DNA. Utachukua uhamuzi gani?

Wanaume tuache kuamini mwanamke eti mkeo kisa mpo kwenye ndoa unaona mimba hio na wewe unaona ni yako.

Kwani ulimuoa bikira. Sasa kama ulimuoa umekuta tobo tuu inamaana hakuwa mwaminifu kwa MUNGU mpaka akatoa sasa iweje awe muaminifu kwako?

Tuache kuamini mwanamke anakuambia mimba ua mtoto ni wako na ME utakuta sawa tuu. Ndo maana tunadanywa sana 😅😅🤣.

Sasa mwanaume mwenzetu huku nigeria majibu ya ex wife yake Baada ya DNA test kuonyesha mtoto siwake.

View attachment 2771724

Kwa maneno hayo ya dada hapo ni kwamba wanaume tuache kuamini mtoto anaweza kuwa wako nenda kahakikishe.

Lakini kwa upande mwingine unaweza sema yupo sawa huyo dada. Lakini kwani kwenda kusaini cheti cha kuzaliwa kwa nini hakumzuia mume wake hasisaini cheti cha kuzaliwa cha mtoto?


Huyo siyo mwanamke ni kichaa, sasa usitake tuache amini wake zetu sababu ya huyo kichaa.
 
Haya ndo madhara ya kuoa mwanamke asiyekupenda, we unaforce tu.

Ukioa mwanamke aliyekupenda sana, hawezi leta mtoto wa nje.

Unaishi wapi?????? Jupiter? Mimi nangoja wangu afike 18 tu mwaka wa kwanza chuo nikapime DNA, nimewacha tu asome kwa amani, nitimize wajibu wangu, ila nahisi ndivyo sivyo.
 
Nadhani kila mmoja huwa anaingia kwenye mahusiano akiwa na sababu zake binafsi. Matokeo yake ndo kulea watoto wa mwanaume mwingine na blaa blaa nyingi.
 
Unaishi wapi?????? Jupiter? Mimi nangoja wangu afike 18 tu mwaka wa kwanza chuo nikapime DNA, nimewacha tu asome kwa amani, nitimize wajibu wangu, ila nahisi ndivyo sivyo.
Kwani hamfanani?
Vipi tabia? Sisemi tabia mbaya au nzuri, kuna zile common.
 
Unaishi wapi?????? Jupiter? Mimi nangoja wangu afike 18 tu mwaka wa kwanza chuo nikapime DNA, nimewacha tu asome kwa amani, nitimize wajibu wangu, ila nahisi ndivyo sivyo.
Naishi Earth mkuu.
 
Nadhani kila mmoja huwa anaingia kwenye mahusiano akiwa na sababu zake binafsi. Matokeo yake ndo kulea watoto wa mwanaume mwingine na blaa blaa nyingi.
Hivi ukimini ni wanao, ukawalea kwa upendo, wanakupenda na unawapenda kuna madhara?
DNA mnajitakia sumu za bure
 
Hivi ukimini ni wanao, ukawalea kwa upendo, wanakupenda na unawapenda kuna madhara?
DNA mnajitakia sumu za bure
Yeah madhara yapo mbeleni na nimeyaona: watoto wakishajua kuwa aliyewalea si baba yao basi watahangaika kutafuta asili yao alafu cha ajabu watamjali huyo ambaye hakuwalea alafu huyu mwingine aliyetoa jasho na damu wanamtupa. Ni watoto wachache sana wanakumbuka fadhila.

So DNA kama kuna mtu anataka apime, mi nashauri akapime tu.
 
Back
Top Bottom