Excel for Professional, Tally ERP & QuickBooks Training

Excel for Professional, Tally ERP & QuickBooks Training

Darasa jipya la Advanced Excel litakuwepo tr 24-28/07/2017
Ni muda wako sasa wa kujiandikisha mapema na kuweka nafasi yako.
Pia tunakaribisha makampuni kuwanoa watu wake kwenye kozi hii
 
Pia kozi ya oracle 12c nayo itaendeshwa kuanzia tr 31/07/2017...uandikishaji umefunguliwa.
Karibu sana.
 
18741656_1688979691114011_1923710502_n.jpg
 
Darasa jipya la Advanced Excel litakuwepo tr 24-28/07/2017
Ni muda wako sasa wa kujiandikisha mapema na kuweka nafasi yako.
Pia tunakaribisha makampuni kuwanoa watu wake kwenye kozi hii
 
Asante mkuu kwa kutoa mafunzo mazuri ya computer

Swali- kwa ambaye tayari ana uelewa wa zile course za introduction to computer, kama anataka kujiendeleza hususani kusoma kozi itakayomuwezesha kuandaa data zake za kibiashara Yaani mapato, matumizi, kujua loss& profit n.k unamshauri asome course gan?, na mnaifundisha kwa bei IPI na itachukua muda gan?

Asante sana ndugu "mensaah", kwa mtu anayejua kutumia computer vzr kwa maana ya kumsaidia kufanya kazi zake kwa ufasaha.Kozi zifuatazo zaweza kuwa msaada tosha kwa tatizo lako tajwa hapo juu;
1. Microsoft Excel for Professional.
Hii Software nathani ulisha isikia,kama ukiisoma vizuri na kuielewa inaweza kukithi maitaji yako muhim kama sio yote kuhusu data zako za kimahesabu.
Faida:
1.Inapatikana kwa uraisi sana, maana ni moja wapo kati ya package ya Microsoft Office. Kwa iyo huna budi kuinunua yenyewe kama yenyewe.
2.Inatumiwa na watu wengi wanaofanya kazi za data kama uhitaji wako ulivyo. Hivyo hata uhamishaji wa data ni mwepesi.
3.Uelewa wako ndio limitation yako.

Hasara.
1.Kila kitu utaitaji kukifanya wewe,na lazima ukiandikie fomula ya kukiwezesha kifanye unachotaka.
2.Kwenye kutoa Report,wewe utachagua ni kipi unakiitaji na kinapatikana vipi,ili kiweze kutumika


2. QuickBooks & Tally
Hizi ni software maalum kabisa kwa ajili ya kuhainisha data na kuzifanyia uchakataji kulingana na unacho kiitaji.
Faida:
1.Ni rahisi kutumia hata kama mtu asipokuwa na uelewa mkubwa wa mahesabu/muhasibu.
2.Zipo automated kwa maana kuwa kila kitu kilishatengenezwa(background) so wewe ni kuclick na kuendelea na mahitaji yako.
3.Zimekuwa intergreted/kuunganishwa mfano. Store na duka/uuzaji au store na usambazaji.

Hasara.
Ni garama kununua na zinaitaji malipo ya mwaka kama utaitaji kuendelea kuitumia kwa ufasaha zaidi.



Sisi hapa kwetu, hizi kozi zote tunaziendesha kwa muda wa wiki mbili (20hrs) kila moja na bei yake ni 350,000/= kila moja.
Ndani ya wiki mbili maximum au wiki moja minimum utakuwa ushakuwa mtaalum na kuweza kujua jinsi ya kuzifanaya data zako zikufanyie kile unachokiitaji kwa matumizi yako.

NOTE: Hatukuachii ivi ivi,utaendelea kuwa kwenye uangalizi wetu kwa miezi mitatu kwa maana kwamba, ndani ya kipindi hicho ukipata tatizo lolote linalohusiana na ulichojifunza darasani,sisi tutakusaidia kutatua bure.
Asante na karibu sana.
Ofisi zetu zipo: Makumbusho Business Complex,2nd Floor,
tupigie: 0717 71 85 19 | 022 270 1320
tuandikie: training@comskills.co.tz
tembelea: www.comskills.co.tz
 
Asante kwa ufafanuzi mazuri
Swali- je, hamuwezi/ hamtoi mafunzo yenu kwa njia ya mtandao? Maana kuna watu wengi wangependa kujifunza program mbalimbali ila wako limited na time pia hawapo miongoni mwa mikoa uliyoitaja
Asante sana ndugu "mensaah",ni kitu ambacho tunakifanyia kazi na maandalizi yake yanaenda vizuri. Ni matumaini yetu kuwa kikiwa tiari tutakitoa hewani na tutawajulisha jinsi gani kinafanya kazi.
Kama una swali lolote waweza kutuuliza,wataalum wetu watakuwepo kukuhudumia.
Tunathamin mtejea na maoni yake kwetu yana umuhim sana.
Asante na karibu, "The Computer Skills"
 
Asante mkuu kwa ufafanuzi ila naomba muharakishe Huduma hiyo ya e- learning maana wengi tumebanwa na majukumu hivyo inakuwa vigumu kuhudhuria mafunzo hayo maeneo yenu.
Asante ndugu, tutajitaidi kadri tuwezavyo.
 
Darasa jipya la Advanced Excel litakuwepo tr 24-28/07/2017
Ni muda wako sasa wa kujiandikisha mapema na kuweka nafasi yako.
Pia tunakaribisha makampuni kuwanoa watu wake kwenye kozi hii
 
Masomo pia kama Basic Computer Knowledge yanaendeshwa kila siku na yanadumu kwa wiki tano masaa mawili kwa siku.
Kwa garama ya Tshs.200,000/= hapa unapata kitabu kimoja na flash disk 4GB bure.
Karibuni sana
 
Masomo pia kama Basic Computer Knowledge yanaendeshwa kila siku na yanadumu kwa wiki tano masaa mawili kwa siku.
Kwa garama ya Tshs.200,000/= hapa unapata kitabu kimoja na flash disk 4GB bure.
Karibuni sana
 
Basic cmputer knowledge naweza lipia kwa awamu mbili?

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana ndugu "Coffee", inawezekana kabisa kulipia awamu mbili kwa kozi hiyo ya Basic Computer Knowledge.
Wiki ijayo kuna madarasa haya yanaanza;
1. saa 08:00 - 10:00
2.saa 12:00 -14:00
3.saa 18:00 - 20:00

Karibu sana, unaweza chagua muda wa darasa utakalo lipenda.
Tupigie: 0717 71 85 19 | 022 270 1320
 
Back
Top Bottom