Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Hizi bifu nyngine huwa zinawapa watu umaarufu sana na hapo watajisifia kupiga mpunga...Le mutuz akiingia kati kidogo tu hapo utamsikia......
Mkuu wanawake ni watu wabaya sanaWatakuwa hawamfanyii vema rommy Jones ,rommy Jones ndo aliyekuwa clouds enzi diamond hajatoka,na akawa anarudia sana kupiga nyimbo za diamond na kuomba washikaji wapige simu za kuiomba ipate airtime ionekane diamond anapendwa,halafu Leo anamtosa?
May be! Ila mimi kuna tangazo langu la pharmacy aliwah nitangazia kwa buku jero, labda kama siku hizi kaamua kupandisha bei
Wema si mama huruma,alikua anampampa vihela vya maana kidogo na yeye anapata kuhonga!sasa Zari bahili mbaya!!unaambiwa pesa yake haitoki bila sababu za msingi.
Ndio maana unaona Romy anataka sana Diamond arudiane na Wema ili aendelee kuvuna huku na huku
Na bikira wa kisukuma pia hawapatani
Mkuu wanawake ni watu wabaya sana
Bikira nae anakasirikaga mapema sana!amekasirika tangu diamond amposti Jokate anacheza mdogomdogo sijui ile,basi mpaka leo Bikira amenuna wakati Jokate mwenyewe alishaongea yakaisha siku nyingi tu
Mkuu hiyo avatar huyo jamaa umependea nini??Sema hakyamungu..
Haaa bikira nae angetulia tuu aendelee kuitunza bikira yake
Anapenda dezo, nkua namshangaa Dai yupo na mpenzi wake ye yupo tu pembeni utadhani mchunga noma sijui dem wake alikua anamgonga saa ngapi ndo maana alimkimbia
Mkuu hiyo avatar huyo jamaa umependea nini??
Hahahaha mmmh buku jero...wewe lazima umetunga..May be! Ila mimi kuna tangazo langu la pharmacy aliwah nitangazia kwa buku jero, labda kama siku hizi kaamua kupandisha bei
Hapana sio hiyoBikira nae anakasirikaga mapema sana!amekasirika tangu diamond amposti Jokate anacheza mdogomdogo sijui ile,basi mpaka leo Bikira amenuna wakati Jokate mwenyewe alishaongea yakaisha siku nyingi tu
ahahahaha,ananuna mapema sana,mtu wa nongwa mara nyingi
Hilo jipu hapo
Kama ww wanawake mna masharti kama freemasonKama mwanamke wako ana roho mbaya usitu generalise wote.
nashangaa mondi hajamataja romy kwenye nyimbo mpya jamani