Acha uongo ndugu! wangekuwa na bifu ommy asingempost diamond cheki hii picha daki chache zilizopita
Wala hujapata uhakika kwamba habari ni za kweli lakini tayari umeshaku-conclude kwamba Rommy hatendewi haki! But let's assume angalau moja ya hizo tuhuma ni kweli. So, according to you:Watakuwa hawamfanyii vema rommy Jones ,rommy Jones ndo aliyekuwa clouds enzi diamond hajatoka,na akawa anarudia sana kupiga nyimbo za diamond na kuomba washikaji wapige simu za kuiomba ipate airtime ionekane diamond anapendwa,halafu Leo anamtosa?
Oh! Trust me, nilikuwa naugua kwa kushindwa kukuona miezi yote hii... nearly to ICU! You good the apple of my eye?Mhhhhhhhh...... mabig haya
Ndo mwenyewe...Hivi ndio yule jamaa anabadili rangi za nywele kama defao?
Watakuwa hawamfanyii vema rommy Jones ,rommy Jones ndo aliyekuwa clouds enzi diamond hajatoka,na akawa anarudia sana kupiga nyimbo za diamond na kuomba washikaji wapige simu za kuiomba ipate airtime ionekane diamond anapendwa,halafu Leo anamtosa?
Nasikia Kanumba alijiimbia nyimbo ya Mazishi na haikupita miezi akaenda... Huyu amejitabilia kufilisika, ngoja tuone..
Oh! Trust me, nilikuwa naugua kwa kushindwa kukuona miezi yote hii... nearly to ICU! You good the apple of my eye?
Kweli carolight ina wateja wengi
haaaaaaaaaa chezea carolight............,
Oh God!! Wacha nitandike kitambaa cheupe sasa hivi sakafuni manake nahisi moyo wangu unaweza dondoka chini hivi punde! What did u just say? Kipenzi cha roho yako? yaani you're sweetest and cutest... hadi maradhi yangu yametoka mbio!!am back babe........... nilikumiss pia...uko salama kipenzi cha roho yangu???????????
wenzio walianza kutabiri huu utabiri wako uchwala miaka mitatu iliyopita ila mpaka leo utabiri wao haujatimia!!sasa naona wewe umemjua Diamond juzi au mwaka jana mwishoni
Utasubiri sana,utatabiri sana kushuka kwake lakini hautokuona,endelea kutoa mifano mbalimbali yote unayoijua lakini Unachokitegemea hautokuja kukiona mpaka unakufa