Ni maneno ya King of all bongo social media LE MUTUZ
LIVE STRAIGHT TALK:- Morning Guys I love music na ninaujua music sibahatishi ninajua kupiga vyombo vya music I have been DJ all my life mpaka Mbelezzz I mean Downtown New York City/USA so I know music ni kwamba diamond platnumz ni the best thing to ever happen to our land..
Tanzania tumepitia some very ugly moments na music kuna wakati tulifikia the lowest mpaka kuwaleta Musicians like Kanda BongoMan ninakumbuka ninamuona New York akipiga uwanja wa Central Park bure lakini anaalikwa Bongo mgeni wa heshima wa dansi lake anakuwa mpaka Waziri Mkuu Kanda Bongoman kwao Zaire hata akipiga bure hakuna wa kwenda kupoteza muda cause hana music wake yeye ni kuiga tu...kuna wakati Bongo tulikuwa na the Music talent Mbaraka Mwinshehe enzi hizo yeye alikuwa almost one level na Lwambo Makiadi Franco wa Zaire lakini Serikali yetu ya Awamu ya kwanza haikuwa na time kabisa na music until now that we have this best talent to ever happen in Our land History Diamond ndiye the Only Artist aliyetuondolea aibu ya Taifa leo hatuwezi tena kuwaalika kina Koffi Olomide au JB Mpiana gharama ya nini wakati unaweza kumpigisha Diamond na ukalipisha bei kubwa kuliko hao WaCongo na ukajaza na wananchi wakaridhika...
I mean my point leo ni kuwakumbusha tu ndugu zangu umuhimu wa kujifunza na kuelewa thamani ya what we have as a Nation in Super Star Diamond and his music which is now our Music yaani Tanzania kumbuka tunatia aibu kwenye Michezo yote mingine no talent Yanga na Simba huko ni makelele tu wakiingia National Team ni ujinga ujinga mtupu Aibu ndio maana niliacha hata kwenda Mpirani..now I understand in life huwezi Kuwaridhisha wote na Mungu anasema it is ok "Ikiwezekana ishi kwa amani na kila mtu" cause hata Mungu anaposema "IKIWEZEKANA" anajua kwamba Haiwezekani so hata kama humpendi Diamond ni sawa kabisa tena ukawa na Sababu zako za msingi lakini Heshimu His Music Talent maana now it is a National Talent yaani Kipaji Cha Taifa the best talent kwenye all Tanzania's Sports to ever happen
So with him now tunaishi na HISTORY he is a History a Super History..some of us tulichoshwa na aibu ya Taifa so lets treasure our own the best Music Talent
LIVE STRAIGHT TALK:- Morning Guys I love music na ninaujua music sibahatishi ninajua kupiga vyombo vya music I have been DJ all my life mpaka Mbelezzz I mean Downtown New York City/USA so I know music ni kwamba diamond platnumz ni the best thing to ever happen to our land..
Tanzania tumepitia some very ugly moments na music kuna wakati tulifikia the lowest mpaka kuwaleta Musicians like Kanda BongoMan ninakumbuka ninamuona New York akipiga uwanja wa Central Park bure lakini anaalikwa Bongo mgeni wa heshima wa dansi lake anakuwa mpaka Waziri Mkuu Kanda Bongoman kwao Zaire hata akipiga bure hakuna wa kwenda kupoteza muda cause hana music wake yeye ni kuiga tu...kuna wakati Bongo tulikuwa na the Music talent Mbaraka Mwinshehe enzi hizo yeye alikuwa almost one level na Lwambo Makiadi Franco wa Zaire lakini Serikali yetu ya Awamu ya kwanza haikuwa na time kabisa na music until now that we have this best talent to ever happen in Our land History Diamond ndiye the Only Artist aliyetuondolea aibu ya Taifa leo hatuwezi tena kuwaalika kina Koffi Olomide au JB Mpiana gharama ya nini wakati unaweza kumpigisha Diamond na ukalipisha bei kubwa kuliko hao WaCongo na ukajaza na wananchi wakaridhika...
I mean my point leo ni kuwakumbusha tu ndugu zangu umuhimu wa kujifunza na kuelewa thamani ya what we have as a Nation in Super Star Diamond and his music which is now our Music yaani Tanzania kumbuka tunatia aibu kwenye Michezo yote mingine no talent Yanga na Simba huko ni makelele tu wakiingia National Team ni ujinga ujinga mtupu Aibu ndio maana niliacha hata kwenda Mpirani..now I understand in life huwezi Kuwaridhisha wote na Mungu anasema it is ok "Ikiwezekana ishi kwa amani na kila mtu" cause hata Mungu anaposema "IKIWEZEKANA" anajua kwamba Haiwezekani so hata kama humpendi Diamond ni sawa kabisa tena ukawa na Sababu zako za msingi lakini Heshimu His Music Talent maana now it is a National Talent yaani Kipaji Cha Taifa the best talent kwenye all Tanzania's Sports to ever happen
So with him now tunaishi na HISTORY he is a History a Super History..some of us tulichoshwa na aibu ya Taifa so lets treasure our own the best Music Talent
Last edited by a moderator: