Kinachoniacha hoi kwenye mtiririko wa habari picha ya kwenye cover la gazeti ni kuwa walianza vizuri kuwa diamond anaingia kwa hotel akiwa kavaa tshirt white ila kaingia mapokezi tu analipia chumba no208 akiwa kavaa singland white, kuna hoteli wanaanzA kuvulia nguo reception??? Au Rwakatare style
shilole hamna kitu hata wewe ukikaza unajipigia!hadi kijeba mrisho ngassa anapiga utashindwa wewe mpwa?
Hahaha kwani Ngasa unamchukuliaje mzee?Hujui kama ni supastaa wa soka wa tz mwenye hadhi ya nyota5?Enewei nasikia hadi bwa mdogo Young D kajilia vyake duuh,inaonekana Shilole ni kichwa cha mwendawazimu
young d?
apo na mm nilipaona mkuu..ndo maana uwa uwa siwaamini amini awa GPL...mtu atalipiaje kifua wazi wakat apoapo reception ananguo zake
asali ya warembo watafune tu.
Si umesema mwenyewe kwenye wimbo wako mpya kuwa "kazi na dawa"!
Nina swali moja tu kwa kinadada, diamond platnumz sasa hivi kawamaliza madada wote wa mjini (wenye mvuto), anawadanganya kwa kipi kati ya haya?
1. Umaarufu
2. Pesa
3. Performance (stejini)
4. Au kina dada wanashindana ili na wenyewe waonekane wametembea na "a star of the moment"?
Acheni uvivu wa kusoma, maelezo yapo. Alikabidhiwa chumba, akaingia ndani, alipotoka kulipia ndio akatoka kifua wazi na sandals za Uwoya.
Wnatafunwaje sasa, kama bablishi vile, sijui hata mnaangalianaje nyie wanawake wote mnaotafunwa humo kwa humo? diamond kula vitu mwaya, mama rwakatare anasema if you can get free milk why keep a cow?eti wale diamond aliowabakisha bongo movie ni wale wenye sura za kutafuta kwa tochi hehehe shigongo bwana.
Wema sepetu ndo TBS ya star wa kiume kibongobongo!ili uwe mkali inabidi list ya kummega wema ikuhusu!ngassa alitaka kutest akaambulia fedheha kwani hana muonekano wa kinyama wa kugonga watoto wakaliHahaha kwani Ngasa unamchukuliaje mzee?Hujui kama ni supastaa wa soka wa tz mwenye hadhi ya nyota5?Enewei nasikia hadi bwa mdogo Young D kajilia vyake duuh,inaonekana Shilole ni kichwa cha mwendawazimu
Wema sepetu ndo TBS ya star wa kiume kibongobongo!ili uwe mkali inabidi list ya kummega wema ikuhusu!ngassa alitaka kutest akaambulia fedheha kwani hana muonekano wa kinyama wa kugonga watoto wakali
Wema sepetu ndo TBS ya star wa kiume kibongobongo!ili uwe mkali inabidi list ya kummega wema ikuhusu!ngassa alitaka kutest akaambulia fedheha kwani hana muonekano wa kinyama wa kugonga watoto wakali
]Wema sepetu ndo TBS ya star wa kiume kibongobongo!ili uwe mkali inabidi list ya kummega wema ikuhusu![/COLOR]ngassa alitaka kutest akaambulia fedheha kwani hana muonekano wa kinyama wa kugonga watoto wakali
duuuhh sasa JUMBE & CHALZ BABA wana unyama gani nao??