Exclusive: Diamond, Uwoya wanaswa hotelini

Exclusive: Diamond, Uwoya wanaswa hotelini

kwanza tukianza kutaja TBS za bongo Wema mbona anapanga foleni....

Muuza sura naona kaamua kumpaisha Wema,mtu anagongwa hadi na mla mapouda asiye na mbele wala nyuma 'JUMBE' na mkata viuno wa wana wa kutwanga na kupepeta 'CHALZ BABA' then anamuita TBS?
 
Muuza sura naona kaamua kumpaisha Wema,mtu anagongwa hadi na mla mapouda asiye na mbele wala nyuma 'JUMBE' na mkata viuno wa wana wa kutwanga na kupepeta 'CHALZ BABA' then anamuita TBS?
Kwa malaya wa mjini wema daraja lingine bab!wema selective kicheche!kipindi jumbe anapiga jumbe alikuwa mnyama kimtaa!!!sehemu kidogo alichemka ni kumvulia chupi chalz baba!chalz baba local...wema hata kama una mzigo ili umgonge lazma uwe na agent anayemuamini ila kumfuata bila agent lazima uwe mnyama!tofauti na kina shilole ukipewa namba ukikaza sana tu!beki hazikabi
 
Duh...kama malengo yake ni kutusua warembo wa bongo muvi isije ikatokea akawamaliza akahamia kwa VIDUME
wa bongo muvi....muumba aepushie mbali.....
 
Wnatafunwaje sasa, kama bablishi vile, sijui hata mnaangalianaje nyie wanawake wote mnaotafunwa humo kwa humo? diamond kula vitu mwaya, mama rwakatare anasema if you can get free milk why keep a cow?eti wale diamond aliowabakisha bongo movie ni wale wenye sura za kutafuta kwa tochi hehehe shigongo bwana.

N a uwoya nae anaboa tu, amejinenepea ovyo kama litembo, bwana amemshinda kutwa kuuza punani mjini hadi itaota sugu sasa. Basi omba talaka tujue moja.

Hiyo ndo watu wa Kigoma wanaita LEKA DUTIGITE
 
Duh...kama malengo yake ni kutusua warembo wa bongo muvi isije ikatokea akawamaliza akahamia kwa VIDUME
wa bongo muvi....muumba aepushie mbali.....

Aaaaah ! Mkuu hapo umefyatukaa !
Imagine Ray na ule mkorogo alaf...... ! Tiraaa....tiraa ...ntaritaaa !
 
:A S 39:jamaa wa Shigongo kanunua picha za CCTV !!, hii Hoteli haina maana !
 
Huyu dogo naye kazidi sasa, mwisho atahamia bungeni kwa wale viti maalum wenye mvuto.
 
wanawake wanapenda hela haijalishi utakuwa nao wangapi
wenyew wanasema wanapenda mwanaume mwenye mapenzi kweli
 
"Mgeni huyu mgeni"-R.I.P Komba
 
Ilikuwa saa kumi kasorobo sheikh mbwana alikuwa msikitini na baadhi ya waamini alikua akiabudu Allah akbar Allah akbar akiwa anamaanisha Mungu mkubwa Mungu mkubwa [HASHTAG]#Nikazeze[/HASHTAG]
 
  • Thanks
Reactions: Gut
View attachment 89546

Unaweza kukwepa matone ya mvua lakini siyo kamera za Global Publishers Ltd, zinapoamua kukufanyia kazi, ukibisha waulize Nasibu Abdul &[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];Diamond' na mke wa mtu, Irene Uwoya.

Diamond na Uwoya, walifanya jitihada za hali ya juu kuuficha ukweli kuhusu uhusiano wao lakini ilipofika Machi 25, mwaka huu, walinaswa na kamera za Global kwenye hoteli moja yenye hadhi ya nyota tano, iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam.

The Biggest IQ, Ijumaa Wikienda, linathubutu kwa kuwa lina ushahidi wa kutosha kutamka kwamba Diamond na Uwoya, walilala kwenye hoteli hiyo, chumba namba 208, waliingia saa 8:24 usiku kisha wakatoka kati ya saa 9:00 na saa 9:13 mchana.
=========

heaven on desert hapa unasemaje mkuu... Bwana mdogo ashaanza kula mke ya mtu?
kuoa msanii kujisogeze kaburi mlangoni kwako.ungiapo na kutoka unalitambuka siku1 utatumbukia
 
Ila uwoya ni mzuri kuliko bi kizee Zari mara 100 yake
 
Back
Top Bottom