Cc: UKAWA
Shardcole nifah sumbai cute b Hii haihitaji kupig kura hahahahhahahaha njooni muendelee kujipa stress kidoho, mtajuta kuchaguwa kuwa na roho za vijiba... haifai kabisa, Kendrick watu wako ninao hapa kama roba ya mbao hiviiii Umoja wa mataifa wameniunganishia wababe wa Afrika nzima ndani ya songi moja Chibu × Wizzy
Diamond Platnumz amepata nafasi nyingine ya
kushirikiana na mastaa mbalimbali wa Afrika
akiwemo Wizkid wa Nigeria, kurekodi wimbo wa
kampeni ya Umoja wa mataifa, United Nations
Global Goals campaign.
Hit maker huyo wa Nana na Wizkid
wameungana na wanamuziki wengine wakubwa
wa Afrika kama Yemi Alade (Nigeria), rapper
Sarkodie (Ghana), kundi la Mafikizolo (South
Africa), Sauti Sol (Kenya), Becca (Ghana) na
Toofan (Togo).
Maproducer ambao wameshiriki kutengeneza
wimbo huo ni Cobhams Asuquo (Nigeria), David
KING DAVID Muthami (Kenya) na Ellputo
(Mozambique).
SOURCE : BONGO5
Mmh huyu Kibakuli hawajamchukua maana angepost et nafanya collabo na wiz kid na sarkodie wakati wimbo na wa u.n
Asantee kwa taarifa mkuu
Hahahahahahaaa... Mkuu Kidingi unawapoteza watu mazimaa. wanalikimbia jukwaa sasa.
Kumbe ni project! Hata kiba ashafanya nyingi sana hizo na mastaa wote unaowajua duniani ambao Diamond hadi atakufa hatoweza kugusa hata kucha ya mastaa hao ambao kiba alishare nao bafu.
diamond pumbavu tu,hamna cha maana anachoweza kuimba huyo mtu,hana uwezo hata kidogo.anapenda sana kufunikwa na beaty labda ajifunze kwa kiba
Bado tu unamfananisha Mkali wa Afrika nzima na huyo mfu kwenye game? hahahaha
Hahahahahahaaa... Mkuu Kidingi unawapoteza watu mazimaa. wanalikimbia jukwaa sasa.
Bado tu unamfananisha Mkali wa Afrika nzima na huyo mfu kwenye game? hahahaha
mkali wa Afrika anaimbaga juu ya nn huyo domo.wimbo mmoja wa kiba ulivokaa chat ww unaongea pumba.nyimbo ipi yake iliyokaa mda huo?Mm nilivo nmezoea kusikia nyimbo zenye tungo,tena zenye ukali wake,kusikiliza domo kwangu ni kurudi nyuma hatua nyingi sana