Exclusive. Hatimaye Yusuph Manji amerejea rasmi Yanga na amemsajili Ibrahim Ajib

We ulitaka waende timu gani mkuu. Mbao hawana uwezo wa kuwanunua acha wwnye meno watafune
 
Ajib alitakiwa atazame soka la kulipwa,kwenda yanga ni kwenda kuua kipaji chake kama ilivyomtokea Kaseke.
huko nje tatizo wanapima pima sana bhana. ha ha unajua tena vijana na cha Arusha.
 
SI ALISEMA ANAENDA SOUTH AU EUROPE? AU DAU LA YANGA NI ZAIDI YA HUKO?
 
hahahaaah sawa mkuu. So Ngoma na Niyonzima nao ni uhakika Simba????

Huyu Kiherehere na Popoma aliyetukuka kitalembwa atanisaidia kunijibia Mkuu kwani tokea apate Kazi ya kuwa Mchambuzi hapo Efm na Kukimbia Kazi yake ya Ualimu huku akitolewa Ushamba wa kusafiri katika Ndege kwenda Jozi ( Johannesburg ) Afrika ya Kusini mara kwa mara kuchambua Soka na SuperSports tayari ameshajifanya Mjanja na anaijua Kazi wakati anaingia hapo Efm tunamwona jinsi alivyokuwa Mbwigira / Mshamba.
 
simba wakizidiwa na hapo watamsingizia bashite!
 
Timu hizi hazina Viongozi ila wahuni waliokabidhiwa ofisi , Eti Kiongozi anasema SISI MBELE KWA MBELE ACHA AENDE ZAKE
 
Eeh....kuchambana tena? hya shosti!
 
[emoji16][emoji23][emoji23]aende salama. Sisi tunatoa kitu tunaweka kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…