Exclusive. Hatimaye Yusuph Manji amerejea rasmi Yanga na amemsajili Ibrahim Ajib

Exclusive. Hatimaye Yusuph Manji amerejea rasmi Yanga na amemsajili Ibrahim Ajib

Wakati Simba Koko wakipika habari za kumsajili Hakizimana, Yanga wameshamsajili Migomba...Yanga wana maudhi jamani acheni. Ila nasikia Okwi a.k.a tawi la mazoea yupo Bongo kusaini mkataba ya kuchukua hela Sokoni
 
migomba mumemsajili kwa miaka mingapi?
Wakati Simba Koko wakipika habari za kumsajili Hakizimana, Yanga wameshamsajili Migomba...Yanga wana maudhi jamani acheni. Ila nasikia Okwi a.k.a tawi la mazoea yupo Bongo kusaini mkataba ya kuchukua hela Sokoni
 
Nawashangaa viongozi wa simba kutoa 110milion kwa nyonzima kwasababu hana thamani iyo
 
Uongo mtupu Niyonzima tunakaa naye mtaa mmoja ajasaini popote.. na vitu vyake anauza mpaka gari lake inawezekana akasepa kabisa bongo
Anauza kila kitu kuondoa mkosi atakapoingia taifa kubwa(Marekani), anapewa kila kitu kipya kasoro mke tu!
 
Back
Top Bottom