Exclusive. Hatimaye Yusuph Manji amerejea rasmi Yanga na amemsajili Ibrahim Ajib

Exclusive. Hatimaye Yusuph Manji amerejea rasmi Yanga na amemsajili Ibrahim Ajib

GENTAMYCINE... ulituletea exclusive hapa ya Simba washapewa points 3 zao za rufaa kwa FIFA.. Mpaka leo hiyo ndoto haijatokea... Nina mashaka sana na habari zako mkuu

Makaburi ni mwiko kufukuliwa bwasheee, hasa kama yanamuhusu Kada nguli kama GENTAMYCINE
 
Screenshot_2017-06-15-21-30-41.png
 
Hivi mchezaji hajafunga hata magoli kumi katika mechi zote kwa msimu kwa vipindi viwili unasema hiyo dhahabu?, kichuya na mzamiru yassin wawe na miguuu ya nn?. Kwan Mimi ni bishoo tu asiyejitambua wenzake wanachakalia bongo na vipaji vyao, kina niyonzima, msuva,nk yeye ana nn cha ziada
Boco amefunga magoli mangapi msimu uliopita mkuu?
 
kucheza mpira simba kusubiri kupata nafasi ya kucheza ULAYA ni sawa na kusubiri Embe chini ya Mnazi....


Usiniupize kwanini "nenda kamuulize MUSSA Hassan Mgosi".

Watu wanataka MATAJI tu....hizo danganya Toto zimepitwa na wakat.
Mataji au taji? Mnabebwa
 
Huwezi amini ila ndiyo hivyo habari nilizozipata hivi punde kutoka katika chanzo changu cha kuaminika kabisa zinasema kwa yule Tajiri na Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Mehboob Manji amerejea rasmi Klabu ya Yanga na kwamba urejeo wake muda wowote utawekwa wazi na Katibu Mkuu wa Yanga Boniface Mkwasa.

Katika kuonyesha kuwa Manji amerudi na hatanii hivi ninavyoandika huu uzi tayari 99% Mchezaji wa Simba SC Ibrahim Ajib amesaini Yanga na kwamba kati ya Kesho hadi Jumapili Nahodha wa Simba SC Jonas Gerald Mkude nae atasaini Yanga FC.

Inasemekana sababu kubwa iliyomuudhi na kumkasirisha Tajiri Manji ni Kitendo cha Simba SC kumalizana na Mchezaji mahiri na tegemo wa Yanga Mnyarwanda Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima kwa dau linalokaribia Tsh Milion 110 za Kitanzania na kumalizana pia na Mshambuliaji wa Yanga FC Donald Ndombo Ngoma.

Kazi imeanza na Shikamoo Yusuph Manji na Mohamed Dewji ' Mo '.

Nawasilisha.

Huyu muhindi anapenda kuzira kama mwanamke wa kichagga
 
Simba viongozi na mashabiki zao wete wana akili za kibashite bashite
 
Nafasi yake tayari imeshajazwa na Ally shomari kiungo mahiri kutoka mtibwa sugar mwenye uwezo wa kucheza zaidi ya namba nne uwanjani. Muacheni aende tu huyo Ajibu
Ndio mnavyosema hivyo au?
 
Huwezi amini ila ndiyo hivyo habari nilizozipata hivi punde kutoka katika chanzo changu cha kuaminika kabisa zinasema kwa yule Tajiri na Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Mehboob Manji amerejea rasmi Klabu ya Yanga na kwamba urejeo wake muda wowote utawekwa wazi na Katibu Mkuu wa Yanga Boniface Mkwasa.

Katika kuonyesha kuwa Manji amerudi na hatanii hivi ninavyoandika huu uzi tayari 99% Mchezaji wa Simba SC Ibrahim Ajib amesaini Yanga na kwamba kati ya Kesho hadi Jumapili Nahodha wa Simba SC Jonas Gerald Mkude nae atasaini Yanga FC.

Inasemekana sababu kubwa iliyomuudhi na kumkasirisha Tajiri Manji ni Kitendo cha Simba SC kumalizana na Mchezaji mahiri na tegemo wa Yanga Mnyarwanda Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima kwa dau linalokaribia Tsh Milion 110 za Kitanzania na kumalizana pia na Mshambuliaji wa Yanga FC Donald Ndombo Ngoma.

Kazi imeanza na Shikamoo Yusuph Manji na Mohamed Dewji ' Mo '.

Nawasilisha.
Uongo mtupu Niyonzima tunakaa naye mtaa mmoja ajasaini popote.. na vitu vyake anauza mpaka gari lake inawezekana akasepa kabisa bongo
 
Uongo mtupu Niyonzima tunakaa naye mtaa mmoja ajasaini popote.. na vitu vyake anauza mpaka gari lake inawezekana akasepa kabisa bongo

Unaonekana unamjua sana Niyonzima Mkuu je vipi haja ku Niyo?
 
Back
Top Bottom