Alikuwa analalamikiwa na mashabiki kuwa ni mvivu wa mazoezi .. Aende tu Ndala FCAjib ni rotten apple, aende tu dimbwini!!
Toka kitambo, ndo maana tulikuwaga tunamtumia kama impact player!Leo hii ndio mnajua hilo.
Hamna lolote. Maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa hayoToka kitambo, ndo maana tulikuwaga tunamtumia kama impact player!
Akawachune ndala huko, safari hii tunataka kuirudisha nchinangalau kama inavyotakiwa, mwakilishi halali kapatikana, mnyama, wavivu hatutaki!!Alikuwa analalamikiwa na mashabiki kuwa ni mvivu wa mazoezi .. Aende tu Ndala FC
Haya hongereni kwa kupata jembe, muda utaongea! Anaenda muweka benchi nani??Hamna lolote. Maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa hayo
Ni kweli maana Wakimataifa original ni Msimbazi.Akawachune ndala huko, safari hii tunataka kuirudisha nchinangalau kama inavyotakiwa, mwakilishi halali kapatikana, mnyama, wavivu hatutaki!!
Mbona mna haraka. Hayo mengine ni ya mwalimu.Haya hongereni kwa kupata jembe, muda utaongea! Anaenda muweka benchi nani??
Kwa jinsi ninavoifaham simba ,sitoshangaa kuona Picha za yanga wakimtambulisha john boko kwenye taarifa ya habari ya itvBocco na Kapombe vipi?
Kwani mbali basi. Tunawasubiri kwa hamu tuwaone mnaojiita wawakilishi halali.Akawachune ndala huko, safari hii tunataka kuirudisha nchinangalau kama inavyotakiwa, mwakilishi halali kapatikana, mnyama, wavivu hatutaki!!
Wawakilishi HALALI & ORIGINAL, usisahau neno original!!Kwani mbali basi. Tunawasubiri kwa hamu tuwaone mnaojiita wawakilishi halali.
Akaaa. Hiyo original ni yenuWawakilishi HALALI & ORIGINAL, usisahau neno original!!
Aka OG, ndo hivyo! Hata nyerere anajua!Akaaa. Hiyo original ni yenu