Exclusive: Haya ndio mambo ambayo Alikiba anahisi kufanyiwa ili asifanikiwe

Kiba anatakiwa kubadilika kuliko kujificha kwenye kichaka cha lawama, hivi kweli unatoa nyimbo leo then baada ya miezi 6 ndo unatoa video hivi unadhani mtv base watacheza iyo video na kuacha video mpya na nyimbo mpya? nyimbo ya nagharamia hadi leo video haijatoka wakati walishafanya ni same mistake
 

Sababu zimeisha mkuu..! wanatoa hoja mfu kutafuta huruma ya mashabiki.
 
Last edited by a moderator:
hahahaha endelea kufurahia tu. hapa hakimbii mtu.
 
Last edited by a moderator:
Duh!yaani taifa langu limekuwa la walalamishi.
 
Akue sasa huyu jamaa tunakoelekea atasema hata you tube videos zake zina viewers wachache kwa sababu kuna watu wanahonga videos zake zisiangaliwe.Apige kazi majungu kulalama hovyo hovyo awaachie mashosti tuu.
 
Sasa nashindwa kuelewa kabisa, hivi ni kwa wimbo upi ambao ana uhakika una ubora wa kupata tuzo za kimataifa hadi afikie kusema eti anafanyiwa fitina?
 
kwekwekwekwehhhhh!!!😁😂😂 king kanyooshwa kwel dai ni gaidi🏃🏃
 
Ina maana King Kiba hataki kufuata ushauri wa Kidoti?
Asitafute mchawi
 
Ina maana King Kiba hataki kufuata ushauri wa Kidoti?
Asitafute mchawi
kisa kasifiwa na Wema basi akajiona anaweza lakini kufuata kanuni za kufanikiwa ktk muziki hazifuati,badala aangalie mwenzake kafanikiwa vipi yeye anatuletea visababu.
 
kisa kasifiwa na Wema basi akajiona anaweza lakini kufuata kanuni za kufanikiwa ktk muziki hazifuati,badala aangalie mwenzake kafanikiwa vipi yeye anatuletea visababu.

Kapigwa bao hadi na harmonize, video ya aiyola inachezwa MTV sas hvi.. yeye anazaidi ya miaka kumi kwenye game ila hata hawamfahamu afu anabaki kutoa sababu mfu..

LONG LIVE OUR PRESIDENT DIAMOND PLATNUMZ, THE KING OF AFROPOP...!!
 
Harmonize Baby.Ndo matunda ya badae na sasa.Kingi kiiba na Harmonize na mkali?
Wasafi.wcb.com
 
Last edited by a moderator:
Harmonize Baby.Ndo matunda ya badae na sasa.Kingi kiiba na Harmonize nani mkali?
Wasafi.wcb.com
 
Last edited by a moderator:
Kapigwa bao hadi na harmonize, video ya aiyola inachezwa MTV sas hvi.. yeye anazaidi ya miaka kumi kwenye game ila hata hawamfahamu afu anabaki kutoa sababu mfu..

LONG LIVE OUR PRESIDENT DIAMOND PLATNUMZ, THE KING OF AFROPOP...!!
Video ya aiyola na pacha wangu ipi nzuri
Babu tale fella salaam wanajiona mungu watu kuna video kama shauri zao hiyo aiyola haikamati au ayaya ila fitna tu
Richmavoko yuleee anapotea kidogo
Recho kasahaulika babu tale bwana ila haya ngoja tuone mwisho wake
 
Sasa nashindwa kuelewa kabisa, hivi ni kwa wimbo upi ambao ana uhakika una ubora wa kupata tuzo za kimataifa hadi afikie kusema eti anafanyiwa fitina?
Akili hamna wewe sasa nasema nawe unafananisha ba wimbo upi wa kiba ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…