Exclusive: Haya Ndiyo Matukio Makubwa Yaliyopelekea Mauaji Ya Bosi Wa Iebc Musando Huko Kenya

Sikubaliani na hoja zako mbili... eti alifanya kosa kuuhakikishia umma usalama wa kura.....akili za makinikia hizo...sheria ipi kavunja?

Eti upinzani wanawezakuwa wamehusika ktk mauaji haya...
Ni fikra mgando kama c ufukara wa mawazo

Yaani umuue wakili wako mwenye 90% ya kukushindia kesi yako ya madai ya billions ,ili ukanung'unike mitaani baada ya kushindwa kesi....!!!.....?

Umeambiwa marekani waliomba kusaidia upelelezi kwa kuwatumia FBI lakini serkali ya jubilee wamekataa kama vile serekali ya Bongo ilivyokataa London scotch yard kupeleleza kupote kwa Bein saanane


Sent from my LT30p using JamiiForums mobile app
 
DUh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sidhani kama circulation ya damu inahusika.

my experience kutoka move ya 24 HOURS Jack bouer alikata kidole cha mtu ili kkitumia kupata access.
that is just my thinking
That is a movie mzee. Now kuna advanced security backups ambazo pia huitaji blood ku-circulate. Incase hujui...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very good insight. ...ni wazi tayari nae alikuwa anapigania na kulinda maslahi ya upande wake aliochagua,kwakujua au bila kujua alijiweka kwenye risky nadhani ali underestimate unyeti wa swala lenyewe alilojadili kwenye media kuwa ni Uchaguzi mkuu wa kuchagua viongozi watakao ongoza Taifa(maslahi ya watu wengi)...anyway kilichotokea kwake kinasikitisha na kuacha majonzi makubwa sana!
 
Soon we will be there..

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha kuhisi mambo / vitu na usitake kulazimisha kinachotokea nchini Kenya basi ni lazima na huku Kwetu Tanzania kije / kitokee. Wakenya wana tatizo lao Kubwa la Ukabila ambalo kwa bahati nzuri sana hata Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alishawahi kumuonya sana Rafiki yake wa wakati huo Jomo Kenyatta kuwa asipolidhibiti mapema basi huko mbeleni ( ambapo ni sasa ) Kenya ingekuwa ni Taifa la Kikabila mno badala ya kuwa la Umoja kama letu la Tanzania.
 
Nilikuwa nampenda uhuru ila nimeanza kudevelop chuki kwake baada ya kuisoma habari hii

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Don't jump into conclusion kwani hizi ni campaign zinazohusisha caucuses and syndicate and a lot of mobsters. ...it might as well involves a lot of blackmailing against each other. ..Kenyan politics a bit different. ...alway bloodshed
 
Kijana acha kubishana na wahenga.. wakati Burundi wanarekebisha katiba ili Nkurunzinza agombee kwa mara ya tatu ulijua kama soon na Rwanda watafata nyayo?!.. wakati huo na sisi tushaanza kampeni kama masihara ya kumbakisha Magu atawale mpaka kifo kama Mugabe.. bado tu hujasoma alama za nyakati?!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Siishi kwa hisia bali naishi kwa uhalisia na usinilazimishe nikubaliane na unachokiamini Wewe tafadhali.
 
Watu hawajui duniani twa pita tu na fahari zote za dunia tutaziacha......pumzika kwa amani Ndg....hakika kila mwana wa Adam ni lazima ayaonje mauti.
Nimekaa na Wakikuyu Zanzibar, hao ndio walinifanya niwachukie Wakenya na Kenya na ndiyo sababu katika nchi zilizoko Afrika Mashariki, Kenya haipo katika list za nchi nitakazoenda kuzitembelea. Wanapenda madaraka, ubinafsi, kutukuzwa, kubebana, ubaguzi na wizi. Ruto walimsongeza tu ili kupata kura za Wakalenji. Nitukaneni, nizomeeni lakini ukweli ndo huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…