Exclusive: Haya Ndiyo Matukio Makubwa Yaliyopelekea Mauaji Ya Bosi Wa Iebc Musando Huko Kenya

Hivi anayeondolewa na bado anapumua na tunakula nae ' bata ' Kitaa na Yule anayeondolewa kwa ' Kuuwawa ' na anaenda kula ' Bata ' Kaburini nani ana afadhali?
Mkuu, toka jamaa ameondolewa tume ya uchaguzi umewahi kusikia habari zake? Unajuaje kama yuko hai? Au kwa kuwa familia yake haijajitokeza kumtafuta? Matukio hayo ya Kenya hata hapa Bongo yapo sana tu.
 
We can't say for certain the Government is involved or not. Anybody could have planned this incidents.The question is why and who is to benefit?
 
Kweli wahenga walishasemaga kizuri hakidumu
Pumzka kwa amani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliotenda ndio wachunguzaji unategemea nini Ben mpaka sasa kapotea na hakuna majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rutta: afrika hakuna tume huru za uchaguzi jamaa kauawa ili wafanikishe kurudi madarakani kwa mlango wa nyuma, kwani naibu waziri wa mambo ya ndani wa kenye naye yuko upande fulani hata wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa waziri wa wizara hiyo last month aliwataka wakenya kupiga kura na kurudi nyumbani na akaahidi kumwaga askari wengi siku hiyo. No democracy in kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nyie rukeni rukeni ila nawaakikishia uhuru anashinda
huyo odinga arudi shambani tuu

ila kenya raisi hana say kwa polisi au huljui hili?
hiyo tume ni huru pia that means wanaeza kujiamulia mambo yao kwa mwajibu wa kanuni zao!!
this ain't nothing to me than bullshit propaganda
ya wa kenya waachieni wenyewe!!!

soon magufuli ataaibika na hizi damu za wakenya hazito muacha salama
alieomba msaada kwa nchi jirani na aloombwa msaada wote ziro
 
Kwa nini kura zote zisiesabiwe kituo cha kupigia kura na kubandikwa hapo hapo? Ili makao makuu wafanyekujumlisha tu. Maana kila kituo idadi ya wapiga kura ipo kwenye daftari hivyo ni rahisi kujua kama idadi ya wapiga kura imezidi idadi ya waliojiandikisha. Hivi Vigo usababishwa na ulevi wa madaraka haswa huku kwetu afrika turudishe migumo yetu ya machifu/wafalme/malkia kuokoa vifo vya watu
 
Aisee; umeitendea haki makala yako.Angalia usihusishwe kwenye huo msafara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…