Kama mtaweka special roads kama Dar hilo halitakua tatizo kwasababu hizo bus hazito simama kwenye foleni. Unless huo umbali ni zaidi ya Km 100! Kwa jinsi Nairobi ilivyo ndogo sizani kama inazidi ata Km 25!Shida ya hizi basi ni inabidi watu wengi wasimame. Zimejaa hapa Europe. Ziko na very few seats na space kubwa ni ya kusimama. Huku distance yenye mtu anatravel huwa fupi so hakuna shida but Nai distance kutoka CBD hadi Adams Arcade au Pipeline au Donholm enyewe mtu hawezi simama it's too far. Afadhali hizi basi za saa hii sura mbaya zenye wame-squeeze viti pamoja lakini mtu anakaa chini akitravel.
Na zenyewe mlizichorea na lipsticks kama mlivyofanya kwenye lanes? Mtakaa sanaNani amekuambia hiyo hazina. Mbongolala ni bongolala tu, hakuna tofauti.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hawa jamaa Leo tunawajaza voucher vibayaNa zenyewe mlizichorea na lipsticks kama mlivyofanya kwenye lanes? Mtakaa sana
😅😅😅 Ni vilaza wa kutupwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hawa jamaa Leo tunawajaza voucher vibaya
Hakuta kua na maana ya BRT labda kwa naongea na ma zuzu hapo sawa, kua na road zake inakuepusha kunasa kwenye jam
Nifunze kwa tulioweza nn maana ya BRT mbuzi nyie sio kuvimba ujinga hapa
Hii ndio infrastructure hapa kabla hawajaizindua View attachment 1093543
East Africa kuna shida kweli. Walichora barabara na lipstick na wengine wakapaka ndege rangi ya nyumba duh!Na zenyewe mlizichorea na lipsticks kama mlivyofanya kwenye lanes? Mtakaa sana
😁 Na nyinyi choreni hizi wireless connection kwa shadow ili hizo boxes zenu ziwe kama BRT busesEast Africa kuna shida kweli. Walichora barabara na lipstick na wengine wakapaka ndege rangi ya nyumba duh!
Nani amekuambia hiyo hazina. Mbongolala ni bongolala tu, hakuna tofauti.
Nenda fesibuki ukatekeleze huu ujinga.Rika lako liko huko. Vitoto vya miaka tisa
Nenda fesibuki ukatekeleze huu ujinga.Rika lako liko huko. Vitoto vya miaka tisa
Kwa akili yako unadhani hili basu lina mlango mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ipo miwili upande wanaposhukia abiriaView attachment 1093387Acha ushamba, pevuka!
😁 Na nyinyi choreni hizi wireless connection kwa shadow ili hizo boxes zenu ziwe kama BRT buses
View attachment 1093584
Ugliest road in Tanzania.Hakuta kua na maana ya BRT labda kwa naongea na ma zuzu hapo sawa, kua na road zake inakuepusha kunasa kwenye jam
Nifunze kwa tulioweza nn maana ya BRT mbuzi nyie sio kuvimba ujinga hapa
Hii ndio infrastructure hapa kabla hawajaizindua View attachment 1093543
Dah! Wewe pia umeiga huo msemo wa failed state?.Jengeni miundombinu buses mnanunua zikaozee store ama nn,ila sihua mnasema mnaelimu bora mbona mnaweweseka hovyo kama walevi wa gongo..
Failed state
Wewe vipi?, ipo wapi hiyo milango miwili, labda useme mlango wa pili upo upande wa kulia wa hili bus, lakini upande huu mlango ni huo mmoja pekee, labda kama huo mlango unaonekana kwa baadhi ya watu wachache sio kila mtu anaweza kuuona,(Invisible door)Kwa akili yako unadhani hili basu lina mlango mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ipo miwili upande wanaposhukia abiria
Rim tu ivalishwe 😉I love the busView attachment 1093401
Kwa hilo basi nionyeshe huo mlango wa pili??Kwa akili yako unadhani hili basu lina mlango mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ipo miwili upande wanaposhukia abiria
Huo sio msemo, hiyo ndio status yenu kama vile mlivyo "Lower middle income".Dah! Wewe pia umeiga huo msemo wa failed state?.