EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Wewe vipi?, ipo wapi hiyo milango miwili, labda useme mlango wa pili upo upande wa kulia wa hili bus, lakini upande huu mlango ni huo mmoja pekee, labda kama huo mlango unaonekana kwa baadhi ya watu wachache sio kila mtu anaweza kuuona,(Invisible door)
Huo ni msemo mlofunzwa na Bibi na babu zenu.Huo sio msemo, hiyo ndio status yenu kama vile mlivyo "Lower middle income".
Soma hio?Rim tu ivalishwe [emoji6]
Kwa hilo basi nionyeshe huo mlango wa pili??
Rim tu ivalishwe [emoji6]
Kwa hilo basi nionyeshe huo mlango wa pili??
Wewe vipi?, ipo wapi hiyo milango miwili, labda useme mlango wa pili upo upande wa kulia wa hili bus, lakini upande huu mlango ni huo mmoja pekee, labda kama huo mlango unaonekana kwa baadhi ya watu wachache sio kila mtu anaweza kuuona,(Invisible door)
Kwahiyo unataka kusema Kenya sio "Lower middle income country". Wewe utakuwa ni mkenya wa kwanza kukataa hizo status zenu.Huo ni msemo mlofunzwa na Bibi na babu zenu.
Waite Upper middle income! 😅Kwahiyo unataka kusema Kenya sio "Lower middle income country". Wewe utakuwa ni mkenya wa kwanza kukataa hizo status zenu.
View attachment 1093387Acha ushamba, pevuka!
Jirani nipeni jibuNa hii milango mingapi
Hakuna unachojua ww bogaUgliest road in Tanzania.
Ndio maana wakaamua wachore tu, badala ya kuanza kujenga barabara na hela hakuna.Kenya wamejifunza tz then watafanya vizuri coz hata challenges wameziona dar kwa hiyo watushukuru na huo ndo ujirani na sio majigambo na dharau
Ndio maana wakaamua wachore tu, badala ya kuanza kujenga barabara na hela hakuna.
Hahahaa... mkuu tupia na ile link waone status yao vizuriHuo sio msemo, hiyo ndio status yenu kama vile mlivyo "Lower middle income".
So mnaleta bus kabra mjenge barabara, na mbona kuna wenzako huko juu wanasema si lazima mfanye kama sisi, juu kuchora ni sawa kabisa.European Union Grants Nairobi County KSh7.6 Billion Towards BRT Project
The European Union Ambassador to Kenya has given a grant of KSh5 billion to go towards the Nairobi Bus Rapid Transport (BRT) project. EU Ambassador to Kenya Stefano Dejak said this during the launch of the Muratina roadwww.kahawatungu.com
Povu la JikHuo ni msemo mlofunzwa na Bibi na babu zenu.
Kwahiyo kwa sasa mnatumia za lines kwanza.Wewe umesema pesa hazipo, ndipo nikakupa hio link.
Wamejifunza na kuamua kujenga miundombinu ndani ya miezi miwili!! Hivi unazani kujifunza ni kitu rahisi, basi ufisadi usingekuwepo duniani maana kila uongozi unaoingia unakuwa unajua nini kizuri cha kufanya kutokana na kujifunza kwa waliotangulia sehemu mbali mbali duniani.Kenya wamejifunza tz then watafanya vizuri coz hata challenges wameziona dar kwa hiyo watushukuru na huo ndo ujirani na sio majigambo na dharau
Tatizo Nai ina jam kali sana na pia hatuna brt lanes. Lakini nimefahamishwa kuwa hawataruhusu watu kusimama kwa hivyo hamna shida. Kwa jam, watu watakuwa wamekaa chini.Kama mtaweka special roads kama Dar hilo halitakua tatizo kwasababu hizo bus hazito simama kwenye foleni. Unless huo umbali ni zaidi ya Km 100! Kwa jinsi Nairobi ilivyo ndogo sizani kama inazidi ata Km 25!