Exclusive: Jay Dee afunguka, atoa sababu za kuitosa ndoa yake

Nivizuri kusema ukweli jAYDE anasura mbaya na mwanaume yoyote atakaempata atakuwa analiwa pesa zake.wanaume wakitanzania wanavyopenda wanawake wazuri .sura Yake Kama WASHAWASHA

Kuna wenye wazuri kama Cleopatra na bado ndoa zao ni tanuru.
 

Unadhani Jide asingeingilia hii ndoa ingekua imara na yenye furaha hadi leo kama ndoa zinavyopaswa kuwa?
 
Nivizuri kusema ukweli jAYDE anasura mbaya na mwanaume yoyote atakaempata atakuwa analiwa pesa zake.wanaume wakitanzania wanavyopenda wanawake wazuri .sura Yake Kama WASHAWASHA

Duh komando amekufanya nn mbona kama too personal mkuu
 

nampenda jide sana
umeongea sahihi
hizi bi sizitaki mbichi hizi!!
 
Dear sis,

ukweli nimeumia leo kusoma mwananchi ukurasa watatu mzima unaweka majadiliano kuhusu maishayako na gadner!!sidhan kama ulikuwasawa ama ukupata msaada wa mawazo!!ndoa inapokufa mnabaki kilamtu na maishayake!!

simjui gadner vile lakini aijaliishi alikuwa mlevi!kicheche na mlishaachana akuna hajayakusema magazetini ooh umemwacha wewee!!somatalaka inasema mmeachana!!!kama umefanikiwa kuipata

nimeongea hivi kwahuzuni kama mwanandoa!!mnapofikia kikomo chamaishayenu si vizuri kutkanana amakuaibishana magazetini!!leo uwezi amini basinililopanda mmoja kanunua gazeti kasoma akaanza kukukandikia kweli!!!tukaamua wengine kusoma kuna ninii!ile niaibu!!

kama ukupata wa kukushauri ilenifedheha kwenu yanikwako nakwake!!kumbuka hiyu kaka aliulizwa kipindi inaitwa mikasi gadner akaulizwa kuhusu ndoa hapo mlishaachana akaombahayo ni mamboyenuyandani!!!muulize mwongozaji salma atakuonyesha alichojibu

Ndugu wapendwa hii nakwenu jf pia samahani kamammeona baadhiyamaswali yandoa najibu mkato maana ndoa ni wewe namumeoo!!huku tutakupa mimba!!!

kuna mmmoja ameuliza anamiaka 9 amwelewi mumewe hata tukikuongezea 2 hutomwelewa malizana naetu huko huku utapata majibuya ajabu yasionwmsaada!!ni kweli mbele huko wamemjibu majibuya shinyaaa

Jaydee najua amna watoto badomnaitaji kuheshimiana aijalishi mmeachana wapo leo walioachana na bado watoto wao waliozaa pandezote wanatmbeleana sembuse nyyie wenyeee!!

wee!!kuachana ni matokeo tu usikatetamaaa aminiusiamini dd hawahawamagazeti wanakuja kukufyonza sikuwakikuona na gadner mnakumbatiana tena

maombiyangu kwamungu upendo uendelee juyenu aijaliishi kilamtu yukowapi anaishiwapi
 
Hakuna mwanaume anaye weza kulazimishwa kuishi na mwanamke kama hataki! Ni wazi G aliachana na mkewake kwa matakwa yake si kusurutishwa!

uko sahihi na cyn6 G ni mhuni wa asili na ndoa ya jide na eda ilianza kuyumba b4 mahusiano na jide
sema zigo la nnya likamganda jide
buy hobestly g ni kcheche
 
Sijapenda majibu ya huyu dada ni kama vile anamdhalilisha brother G. Ushauri wa bure G kaa kimya songesha life yako achana na maneno.
 

and that is how it is...!!!!
 
Last edited by a moderator:
Upompwaa nimeshaangaasanaa leoo ykurasamzima watatuu unamzungumzia gadner na jdeeee log singenunua juice ya embe ninywe kama ningejuahuu upuuzi ukondani
 
Unadhani Jide asingeingilia hii ndoa ingekua imara na yenye furaha hadi leo kama ndoa zinavyopaswa kuwa?

ndoa ilishayumbaa
gadna na eda walikua tanga km sikosei
na uhini wa habash ulianza mda
baadae walitengana ndo gadna akawa na jide
ila jumba bovu likamdondokea jide
eda ndo akahamia mwanza ndo akaolewa tena huyu dada km sikosei ana undugu na anko HASHIM LUNDENGA
 
Yeah alikua na mke huko Mwanza wamezaa nae mtoto mmoja ni kweli kabisa... alivyokuja Dar akawa na mtoto Fauzia.. baadae Jide ko mpambano bado ulikuwepo kati ya baby mama wa Gardner na Jide mwenyewe...
Asante kwa kuclear my doubts
 
Ikifika kipindi cha kuandika humu jaribu kumtafuta mtu akusaidie,una jambo ila uwasilishaji wako ni mgumu watu kukuelewa vizuri.
 

Nasaha nzuri lakini uandishi kichefuchefu!! Tulia uwasilishe maoni yako kwa ufasaha ueleweke kwa wadau!
 
Lady Jaydee ni loser, mambo yake mengi yalifanikiwa kwa kuwa Gardner alimsimamia. Pia G alivumilia kuishi na kinyago cha mpapule sura mbaya kwa vile Jide alikuwa na talent,,, tunaita checks and balance. Pia Jide kizazi hakuna yote G alivumilia, hizo ni frustrations za Jide baada ya kuwa nungayembe tena
 
Jay Dee apambane na yajayo, yaliyopita imebaki story hamna kitu material hapo. Gadner songa mbele, usikatishwe tamaa na mambo ya mtalaka wako. Hiyo chapter imefungwa maisha lazima yaendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…