mwallu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 6,787
- 4,210
Duuu hakika dunia ina mambo mengi sana hasa linapo kuja swala la mahusiano..huyu dada pengine hakupendwa na G bali alikuwa anatumiwa tuu! Hizi tuhuma zina mdhalilisha sana G duu!
Lakini pia ni kweli ulio wazi Jide ana tatizo kubwa na kisaikolojia ni wazi kabisa hana furaha kabisa pamoja na kuachana na G maana tangu aanze kuonge hajawai kumaliza!
Hakika Jide nilikuwa namchukulia kama mwanamke jasiri sana na wakuheshimika lakini nilipo muona kakimbilia kwa mpiga ramli na kukubali kudanganywa hakika niliamini Jide ni mwanamke mwenye matatizo makubwa sana na ana hitaji msaada
Hata hivyo ni wazi alikuwa na haki ya kuachana na G.
Kila mtu ana weakness yake Ruta..