Exclusive: Jinsi ya kutajirika kupitia mchezo wa Keno Lottery (part 1)

Exclusive: Jinsi ya kutajirika kupitia mchezo wa Keno Lottery (part 1)

PLASMODIUM

Member
Joined
Nov 11, 2016
Posts
46
Reaction score
121
Leo tutaiangalia kwa harakaharaka keno inachezwaje ili kuwapa mwanga wale wasiojua huu mchezo unachezwaje na baadhi ya trick(s) unazoweza kutumia ili kujishindia pesa.

Utangulizi.

Keno ni mchezo wa bahati nasibu aina ya lottery.mchezo huu ulianzia china zamani kwenye miaka ya 180 na kuanza kuenea taratibu mpaka bara la America na hapo ndipo mchezo huu ukaanza kupata umaarufu mkubwa.

Mchezo huu unahusisha namba,ambapo kunakuwa na namba kuanzia 1 mpaka 80 na kunakuwa na mizunguko ambapo kila mzunguko zitatoka namba 20 Kati ya 60,hivyo basi wewe utatakiwa kubashiri ni namba zipi zinatoka na zipi hazitoki kati ya hizo namba 20.

Mfano;
57b7702ff1cfb124af332b5d371f2325.jpg

Kwa mizunguko(rounds) katika keno huwa ni kila baada ya dakika 4,ambapo zitatoka namba 20 na zitazuiliwa namba 60 hivyo kama ulitabiri namba mfano 2 na 75 zitoke na hizo namba zikaonekana kwenye hizo namba 20 zinazotoka,utakuwa umeshinda na kama hizo namba hazikuonekana kati ya hizo namba 20 hapo utakuwa umekosea kubashiri.

"RANDOM NUMBER GENERATOR"(RNG) ni mfumo unaotumika kutoa namba ambapo namba zinatolewa zikiwa hazipo katika mpangilio sahihi.
Mchezo huu unaweza kuchezwa kwa kuzuia namba,kutoa namba, nk

Kutoa namba (DRAWN NUMBER).
Hapa kuna kitu kinaitwa "odds" yaani ni points zinazokuja kulingana na idadi ya namba ulizo bashiri.

Mfano;
*Ukibashiri namba moja inakuja odd ya 3.60
*namba zikiwa mbili ......inakuja odd ya 14.00
*namba zikiwa tatu ...................odds=60.00
*....................nne ....................odds=275.00
*....................tano ..................odds=1400.00
*....................sita .....................odds=6500.00

Yaani kama ukibashiri namba moja itoke na mfano ukaweka kiasi cha shilingi 2000,ina maana utazidisha hicho kiasi na odds husika 2000*3.60=7,800
Mfano ninabashiri namaba 2,76 na 23 zitoke alafu nikaweka sh.1000 maana yake nitazidisha kiasi ninachotaka kuweka dhidi ya odds husika yaani 1000(60.00)=60,000/= nk

KUZUIA NAMBA;
pia unaweza kuzuia namba ambapo unaweza kuzuia mpaka jumla ya idadi ya namba 9 katika kila mzunguko.

Chini ni idadi ya namba na odds zake...
1..............odd(s)=1.20
2..............odd(s)=1.60
3..............odds =2.00
4......................=2.70
5......................=5.00
6......................=7.00
7......................=9.50
8......................=13.00
9......................=18.00

Yaani kama ukizuia mfano namba 31 na 74 na ukaweka kiasi mfano 40,000/= utazidisha kiasi 40,000 na odds husika ambayo ni 1.60 kwa idadi ya namba mbili, itakuja 64,000/=
Nina imani mpaka kufikia hapo wale waliokiwa hawana idea watakuwa wameshapata kitu japo kwa juu juu.

Japokuwa mchezo huu unaendeshwa kwa mfumo wa RNG,lakini kuna tricks unazoweza kuzitumia na kuibuka mshindi kirahisi kabisa.

Watu wanatakiwa kujua yafuatayo;
1)mchezo huu huwezi kuwa na uhakika wa hata 51% ya kushinda,pindi unapokuwa umebashiri idadi kubwa ya namba.

2)huwezi kushinda kama hujausoma vizuri mzunguko wake unakwendaje.

Nitakumwagia steps zoote unazotakiwa kuzifuata ili kuibuka na ushindi mrahisi pindi uchezapo mchezo huu.

NOTE;KAMA NI MVIVU BASI HUTOWEZA KWENDA SAMBAMBA NA HIZI TRICKS, JAPOKUWA NI RAHISI KUZITUMIA.

Tricks zipo kama 12 na kila trick ina asilimia zaidi 70% kushinda.

NAOMBA TUWE SOTE MPAKA TRICKS ZOOTE 12 ZIMALIZIKE.

Kwanza kabisa kwenye upande wa KUZUIA NAMBA.

Editing bado inaendelea ......

Kwanza kabisa inabidi tuzijue hizi mamba zifuatazo;

CONSECUTIVE DRAWN NUMBERS, hizi ni namba zinazojirudia mfululizo, zinaweza kujirudia hata mara5 kila mzunguko.

CONSECUTIVE NOT DRAWN NUMBER, hizi ni namba zilizojificha(namba zilizo katika kizuizi) Mara nyingi namba inakuwa katika kundi hili inapokiwa haijaonekana katika mizungiko kuanzia 9 mpaka 12, lakini kuna baadhi huwa hawazionyeshi katika kundi hili japo zinakuwa hazijaonekana katika mizunguko kadhaa.

MOST DRAWN NUMBERS IN LAST 10 DRAWN, ni kundi lenye namba ambazo zimeonekana mara nyingi katika mizunguko 10. Namba huonekana katika kundi hili pindi inapoonekana kuanzia mara5 katika mizunguko 10 and vice versa, hapa pia nyingine huonekana mara nyingi zaidi.

NJIA YA KWANZA UNAYOWEZA KUITUMIA KUZUIA NAMBA (vertical line marking), hii ni njia ambayo nimeigundua na kuipa jina hilo la vertical line marking(VLM)
d8fe6cc5abc9f0db0c4b184f08c4ca5f.jpg

Njia hii inakwenda sambamba na kumark line ambayo namba zake zote hazijatoka.

INAWEZEKANA Kama umekuwa ni mfuatiliaji mzuri wa keno basi utagundua kwamba katika kila mizunguko 10 basi kunakuwa na mizunguko kama 6 hivi ambapo kunakuwa na namba zilizofichwa katika makundi(groups) kwa mfano chemistry kwenye periodic table kunakuwa na elements ambazo zinakuwa allocated kwenye GROUPS AU COLUMN.

Sasa chukua hiyo idea na uilete hapa ambapo utaona kuna namba kuanzia 1 mpaka 80 na zipo kwenye mpangilio yaani tukisema twende kwa ma group's basi kutakuwa na magroup haya;

1=1 11 21 31 41 51 61 71
2=2 12 22 32 42 52 62 72
3=3 13 23 33 43 53 63 73
4=4 14 24 34 44 54 64 74
5=5 15 25 35 45 55 65 75
6=6 16 26 36 46 56 66 76
7=7 17 27 37 47 57 67 77
8=8 18 28 38 48 58 68 78
9=9 19 29 39 49 59 69 79
10=10 20 30 40 50 60 70 80

5d950f25c6e34b3423d825f90a70c33f.jpg

Mfano wa magroupS niliyo shade yaani group 1&3&7, sasa hapa kuna kitu ambacho wengi hawakijui kuhusu hii system.

Nakuletea rekodi ya michezo ya nyuma ili uelewe vizuri system inakuwaje, in ASCENDING ARRANGEMENT
17b675778479a48b3dbfe07b13fe68f5.jpg
53c3cee35488d41710d9c442a3a77dde.jpg
2391fe475caf1cb8b76dc27e907296f1.jpg
fe7b787892620c900414c6df4b6de181.jpg
f960489eee3ae213016aa04f2d03bb44.jpg
75278d178f080a43e433d6b73ec43e37.jpg


*NITAENDELEA KESHO*

-PLASMODIUM-
 
Haya matakataka yalishanimaliza hamu kabisa na yale ugonjwa mwingine betting ni balaaa tupu kama una hela zisizo na muelekeo ni sawa ila kwa hali ya sasa kiuchumi ni big NO
 
Leo tutaiangalia kwa harakaharaka keno inachezwaje ili kuwapa mwanga wale wasiojua huu mchezo unachezwaje na baadhi ya trick(s) unazoweza kutumia ili kujishindia pesa.
Utangulizi.
Keno ni mchezo wa bahati nasibu aina ya lottery.mchezo huu ulianzia china zamani kwenye miaka ya 180 na kuanza kuenea taratibu mpaka bara la America na hapo ndipo mchezo huu ukaanza kupata umaarufu mkubwa.
Mchezo huu unahusisha namba,ambapo kunakuwa na namba kuanzia 1 mpaka 80 na kunakuwa na mizunguko ambapo kila mzunguko zitatoka namba 20 Kati ya 60,hivyo basi wewe utatakiwa kubashiri ni namba zipi zinatoka na zipi hazitoki kati ya hizo namba 20.
Mfano;
57b7702ff1cfb124af332b5d371f2325.jpg

Kwa mizunguko(rounds) katika keno huwa ni kila baada ya dakika 4,ambapo zitatoka namba 20 na zitazuiliwa namba 60 hivyo kama ulitabiri namba mfano 2 na 75 zitoke na hizo namba zikaonekana kwenye hizo namba 20 zinazotoka,utakuwa umeshinda..na kama hizo namba hazikuonekana kati ya hizo namba 20 hapo utakuwa umekosea kubashiri.
"RANDOM NUMBER GENERATOR"(RNG) ni mfumo unaotumika kutoa namba ambapo namba zinatolewa zikiwa hazipo katika mpangilio sahihi.
Mchezo huu unaweza kuchezwa kwa kuzuia namba,kutoa namba ...nk
*Kutoa namba (DRAWN NUMBER).
hapa kuna kitu kinaitwa "odds" yaani ni points zinazokuja kulingana na idadi ya namba ulizo bashiri.
Mfano;
*Ukibashiri namba moja inakuja odd ya 3.60
*namba zikiwa mbili ......inakuja odd ya 14.00
*namba zikiwa tatu ...................odds=60.00
*....................nne ....................odds=275.00
*....................tano ..................odds=1400.00
*....................sita .....................odds=6500.00

Yaani kama ukibashiri namba moja itoke na mfano ukaweka kiasi cha shilingi 2000,ina maana utazidisha hicho kiasi na odds husika 2000*3.60=7,800
Mfano ninabashiri namaba 2,76 na 23 zitoke alafu nikaweka sh.1000 maana yake nitazidisha kiasi ninachotaka kuweka dhidi ya odds husika yaani 1000(60.00)=60,000/= nk nk

KUZUIA NAMBA;
pia unaweza kuzuia namba ambapo unaweza kuzuia mpaka jumla ya idadi ya namba 9 katika kila mzunguko.
Chini ni idadi ya namba na odds zake...
1..............odd(s)=1.20
2..............odd(s)=1.60
3..............odds =2.00
4......................=2.70
5......................=5.00
6......................=7.00
7......................=9.50
8......................=13.00
9......................=18.00
Yaani kama ukizuia mfano namba 31 na 74 na ukaweka kiasi mfano 40,000/= utazidisha kiasi 40,000 na odds husika ambayo ni 1.60 kwa idadi ya namba mbili ....itakuja 64,000/=
Nina imani mpaka kufikia hapo wale waliokiwa hawana idea watakuwa wameshapata kitu japo kwa juu juu ...
Japokuwa mchezo huu unaendeshwa kwa mfumo wa RNG,lakini kuna tricks unazoweza kuzitumia na kuibuka mshindi kirahisi kabisa.
Watu wanatakiwa kujua yafuatayo;
1)mchezo huu huwezi kuwa na uhakika wa hata 51% ya kushinda,pindi unapokuwa umebashiri idadi kubwa ya namba.
2)huwezi kushinda kama hujausoma vizuri mzunguko wake unakwendaje.

Nitakumwagia steps zoote unazotakiwa kuzifuata ili kuibuka na ushindi mrahisi pindi uchezapo mchezo huu.
NOTE;KAMA NI MVIVU BASI HUTOWEZA KWENDA SAMBAMBA NA HIZI TRICKS,JAPOKUWA NI RAHISI KUZITUMIA.
tricks zipo kama 12 na kila trick ina asilimia zaidi 70% kushonda.
NAOMBA TUWE SOTE MPAKA TRICKS ZOOTE 12 ZIMALIZIKE.

*Kwanza kabisa kwenye upande wa KUZUIA NAMBA.
Editing bado inaendelea ......

Kwanza kabisa inabidi tuzijue hizi mamba zifuatazo;
*CONSECUTIVE DRAWN NUMBERS...hizi ni namba zinazojirudia mfululizo...zinaweza kujirudia hata mara5 kila mzunguko.
*CONSECUTIVE NOT DRAWN NUMBER....hizi ni namba zilizojificha(namba zilizo katika kizuizi) Mara nyingi namba inakuwa katika kundi hili inapokiwa haijaonekana katika mizungiko kuanzia 9 mpaka 12 ...lakini kuna baadhi huwa hawazionyeshi katika kundi hili japo zinakuwa hazijaonekana katika mizunguko kadhaa.
*MOST DRAWN NUMBERS IN LAST 10 DRAWN...ni kundi lenye namba ambazo zimeonekana mara nyingi katika mizunguko 10..namba huonekana katika kundi hili pindi inapoonekana kuanzia mara5 katika mizunguko 10 and vice versa ...hapa pia nyingine huonekana mara nyingi zaidi.

*NJIA YA KWANZA UNAYOWEZA KUITUMIA KUZUIA NAMBA (vertical line making),hii ni njia ambayo nimeigundua na kuipa jina hilo la vertical line making,clm..
d8fe6cc5abc9f0db0c4b184f08c4ca5f.jpg

Njia hii inakwenda sambamba na kumark line ambayo namba zake zote hazijatoka..INAWEZEKANA Kama umekuwa ni mfuatiliaji mzuri wa keno basi utagundua kwamba katika kila mizunguko 10 basi kunakuwa na mizunguko kama 6 hivi ambapo kunakuwa na namba zilizofichwa katika mstari mlalo katika mfano chemistry kwenye periodic table kunakuwa na elements ambazo zinakuwa allocated kwenye GROUPS AU COLUMN...sasa chukua hiyo idea na uilete hapa ambapo utaona kuna namba kuanzia 1 mpaka 80 na zipo kwenye mpangilio yaani tukisema twende kwa ma group's basi kutakuwa na magroup haya;
1=1 11 21 31 41 51 61 71
2=2 12 22 32 42 52 62 72
3=3 13 23 33 43 53 63 73
4=4 14 24 34 44 54 64 74
5=5 15 25 35 45 55 65 75
6=6 16 26 36 46 56 66 76
7=7 17 27 37 47 57 67 77
8=8 18 28 38 48 58 68 78
9=9 19 29 39 49 59 69 79
10=10 20 30 40 50 60 70 80
5d950f25c6e34b3423d825f90a70c33f.jpg

Mfano wa magroupS niliyo shade yaani group 1&3&7,sasa hapa kuna kitu ambacho wengi hawakijui kihusu hii system...
Nakuletea rekodi ya michezo ya nyuma ili uelewe vizuri system inakuwaje,in ASCENDING ARRANGEMENT
17b675778479a48b3dbfe07b13fe68f5.jpg
53c3cee35488d41710d9c442a3a77dde.jpg
2391fe475caf1cb8b76dc27e907296f1.jpg
fe7b787892620c900414c6df4b6de181.jpg
f960489eee3ae213016aa04f2d03bb44.jpg
75278d178f080a43e433d6b73ec43e37.jpg


* NITAENDELEA KESHO *
-PLASMODIUM-
Dah..! Mkuu hiyo avatar yako vipi.?
Yaani mwanangu kila akiiona usiku halali..![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
kaka mim sijawahi cheza huu mchezo ila ktk zile picha pale chini, zile ndizo namba zitakazotoka ama ndizo namba ambazo hazitatoka? kule ktk soccer sipawezi maana unasubiriii alafu unalala na maiti na ukianka asubui, ukata bonge la lose.
 
Leo tutaiangalia kwa harakaharaka keno inachezwaje ili kuwapa mwanga wale wasiojua huu mchezo unachezwaje na baadhi ya trick(s) unazoweza kutumia ili kujishindia pesa.
Utangulizi.
Keno ni mchezo wa bahati nasibu aina ya lottery.mchezo huu ulianzia china zamani kwenye miaka ya 180 na kuanza kuenea taratibu mpaka bara la America na hapo ndipo mchezo huu ukaanza kupata umaarufu mkubwa.
Mchezo huu unahusisha namba,ambapo kunakuwa na namba kuanzia 1 mpaka 80 na kunakuwa na mizunguko ambapo kila mzunguko zitatoka namba 20 Kati ya 60,hivyo basi wewe utatakiwa kubashiri ni namba zipi zinatoka na zipi hazitoki kati ya hizo namba 20.
Mfano;
57b7702ff1cfb124af332b5d371f2325.jpg

Kwa mizunguko(rounds) katika keno huwa ni kila baada ya dakika 4,ambapo zitatoka namba 20 na zitazuiliwa namba 60 hivyo kama ulitabiri namba mfano 2 na 75 zitoke na hizo namba zikaonekana kwenye hizo namba 20 zinazotoka,utakuwa umeshinda..na kama hizo namba hazikuonekana kati ya hizo namba 20 hapo utakuwa umekosea kubashiri.
"RANDOM NUMBER GENERATOR"(RNG) ni mfumo unaotumika kutoa namba ambapo namba zinatolewa zikiwa hazipo katika mpangilio sahihi.
Mchezo huu unaweza kuchezwa kwa kuzuia namba,kutoa namba ...nk
*Kutoa namba (DRAWN NUMBER).
hapa kuna kitu kinaitwa "odds" yaani ni points zinazokuja kulingana na idadi ya namba ulizo bashiri.
Mfano;
*Ukibashiri namba moja inakuja odd ya 3.60
*namba zikiwa mbili ......inakuja odd ya 14.00
*namba zikiwa tatu ...................odds=60.00
*....................nne ....................odds=275.00
*....................tano ..................odds=1400.00
*....................sita .....................odds=6500.00

Yaani kama ukibashiri namba moja itoke na mfano ukaweka kiasi cha shilingi 2000,ina maana utazidisha hicho kiasi na odds husika 2000*3.60=7,800
Mfano ninabashiri namaba 2,76 na 23 zitoke alafu nikaweka sh.1000 maana yake nitazidisha kiasi ninachotaka kuweka dhidi ya odds husika yaani 1000(60.00)=60,000/= nk nk

KUZUIA NAMBA;
pia unaweza kuzuia namba ambapo unaweza kuzuia mpaka jumla ya idadi ya namba 9 katika kila mzunguko.
Chini ni idadi ya namba na odds zake...
1..............odd(s)=1.20
2..............odd(s)=1.60
3..............odds =2.00
4......................=2.70
5......................=5.00
6......................=7.00
7......................=9.50
8......................=13.00
9......................=18.00
Yaani kama ukizuia mfano namba 31 na 74 na ukaweka kiasi mfano 40,000/= utazidisha kiasi 40,000 na odds husika ambayo ni 1.60 kwa idadi ya namba mbili ....itakuja 64,000/=
Nina imani mpaka kufikia hapo wale waliokiwa hawana idea watakuwa wameshapata kitu japo kwa juu juu ...
Japokuwa mchezo huu unaendeshwa kwa mfumo wa RNG,lakini kuna tricks unazoweza kuzitumia na kuibuka mshindi kirahisi kabisa.
Watu wanatakiwa kujua yafuatayo;
1)mchezo huu huwezi kuwa na uhakika wa hata 51% ya kushinda,pindi unapokuwa umebashiri idadi kubwa ya namba.
2)huwezi kushinda kama hujausoma vizuri mzunguko wake unakwendaje.

Nitakumwagia steps zoote unazotakiwa kuzifuata ili kuibuka na ushindi mrahisi pindi uchezapo mchezo huu.
NOTE;KAMA NI MVIVU BASI HUTOWEZA KWENDA SAMBAMBA NA HIZI TRICKS,JAPOKUWA NI RAHISI KUZITUMIA.
tricks zipo kama 12 na kila trick ina asilimia zaidi 70% kushinda.
NAOMBA TUWE SOTE MPAKA TRICKS ZOOTE 12 ZIMALIZIKE.

*Kwanza kabisa kwenye upande wa KUZUIA NAMBA.
Editing bado inaendelea ......

Kwanza kabisa inabidi tuzijue hizi mamba zifuatazo;
*CONSECUTIVE DRAWN NUMBERS...hizi ni namba zinazojirudia mfululizo...zinaweza kujirudia hata mara5 kila mzunguko.
*CONSECUTIVE NOT DRAWN NUMBER....hizi ni namba zilizojificha(namba zilizo katika kizuizi) Mara nyingi namba inakuwa katika kundi hili inapokiwa haijaonekana katika mizungiko kuanzia 9 mpaka 12 ...lakini kuna baadhi huwa hawazionyeshi katika kundi hili japo zinakuwa hazijaonekana katika mizunguko kadhaa.
*MOST DRAWN NUMBERS IN LAST 10 DRAWN...ni kundi lenye namba ambazo zimeonekana mara nyingi katika mizunguko 10..namba huonekana katika kundi hili pindi inapoonekana kuanzia mara5 katika mizunguko 10 and vice versa ...hapa pia nyingine huonekana mara nyingi zaidi.

*NJIA YA KWANZA UNAYOWEZA KUITUMIA KUZUIA NAMBA (vertical line marking),hii ni njia ambayo nimeigundua na kuipa jina hilo la vertical line marking(VLM)
d8fe6cc5abc9f0db0c4b184f08c4ca5f.jpg

Njia hii inakwenda sambamba na kumark line ambayo namba zake zote hazijatoka..INAWEZEKANA Kama umekuwa ni mfuatiliaji mzuri wa keno basi utagundua kwamba katika kila mizunguko 10 basi kunakuwa na mizunguko kama 6 hivi ambapo kunakuwa na namba zilizofichwa katika makundi(groups) kwa mfano chemistry kwenye periodic table kunakuwa na elements ambazo zinakuwa allocated kwenye GROUPS AU COLUMN...sasa chukua hiyo idea na uilete hapa ambapo utaona kuna namba kuanzia 1 mpaka 80 na zipo kwenye mpangilio yaani tukisema twende kwa ma group's basi kutakuwa na magroup haya;
1=1 11 21 31 41 51 61 71
2=2 12 22 32 42 52 62 72
3=3 13 23 33 43 53 63 73
4=4 14 24 34 44 54 64 74
5=5 15 25 35 45 55 65 75
6=6 16 26 36 46 56 66 76
7=7 17 27 37 47 57 67 77
8=8 18 28 38 48 58 68 78
9=9 19 29 39 49 59 69 79
10=10 20 30 40 50 60 70 80
5d950f25c6e34b3423d825f90a70c33f.jpg

Mfano wa magroupS niliyo shade yaani group 1&3&7,sasa hapa kuna kitu ambacho wengi hawakijui kuhusu hii system...
Nakuletea rekodi ya michezo ya nyuma ili uelewe vizuri system inakuwaje,in ASCENDING ARRANGEMENT
17b675778479a48b3dbfe07b13fe68f5.jpg
53c3cee35488d41710d9c442a3a77dde.jpg
2391fe475caf1cb8b76dc27e907296f1.jpg
fe7b787892620c900414c6df4b6de181.jpg
f960489eee3ae213016aa04f2d03bb44.jpg
75278d178f080a43e433d6b73ec43e37.jpg


* NITAENDELEA KESHO *
-PLASMODIUM-
Kazi nzur thanks
 
Back
Top Bottom