zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Pole sana kwa uchovu wa safari za kampeni, nikupongeze kwa dedication na determination yako ya kupambana bila Kukata tamaa na kuvuka vihunzi vyote vya wapinzani wako.
SWALI: Mikakati gani mmeweka kuhakikisha mnapata mapema kabisa nakala original za matokeo ya kila kituo kwa chaguzi za level zote ili kuepuka hujuma inayoweza fanyika.
2. Ikitokea Rais Magufuli ameshinda kihalali kabisa na ukaridhika. Upo tayari kumpa ushirikiano mf; kumtambua na kuhudhuria kuapishwa kwake ama utakua opposer kwa muhula uliobaki?
3. Ikitokea umeshindwa uchaguzi kihalali kabisa. Je una mpango gani wa kuendeleza vuguvugu la upinzani kwa miaka hii mitano hasa ukizingatia tutakukosa bungeni ambapo ulijizolea umaarufu kwa kujenga hoja nzito za kisheria? Kiufupi WHAT IS NEXT after elections in a worst case scenario?
Ubarikiwe na nakuahidi mimi na familia yangu na marafiki zangu wote wa karibu kukupa kura zetu zote hiyo tarehe 28.
SWALI: Mikakati gani mmeweka kuhakikisha mnapata mapema kabisa nakala original za matokeo ya kila kituo kwa chaguzi za level zote ili kuepuka hujuma inayoweza fanyika.
2. Ikitokea Rais Magufuli ameshinda kihalali kabisa na ukaridhika. Upo tayari kumpa ushirikiano mf; kumtambua na kuhudhuria kuapishwa kwake ama utakua opposer kwa muhula uliobaki?
3. Ikitokea umeshindwa uchaguzi kihalali kabisa. Je una mpango gani wa kuendeleza vuguvugu la upinzani kwa miaka hii mitano hasa ukizingatia tutakukosa bungeni ambapo ulijizolea umaarufu kwa kujenga hoja nzito za kisheria? Kiufupi WHAT IS NEXT after elections in a worst case scenario?
Ubarikiwe na nakuahidi mimi na familia yangu na marafiki zangu wote wa karibu kukupa kura zetu zote hiyo tarehe 28.