Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Yaani huyu jamaa ana akili na busara mpaka kichwa kinauma.
Nyimbo zake za zamani safari hii zimeshafufuka tena huku street.
Yaani sisi Team kiba kindakindaki hatunaga mbwewe nyingi.
Prof. Mkiu.
Sawa prof Mkiu...mbwembwe zitoke wapi sasa?Our King Kiba hana sisi tutazitoa wapi?aina ya msanii inareflect characteristics za mashabiki wake....
Last edited by a moderator: