Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Status
Not open for further replies.

Wakili wake nasema muacheni mteja wangu apumuwe hajakuomba msaada wowote, weka hapa tuone nyumba uliyomjengea baba'ko.
 
Wakili wake nasema muacheni mteja wangu apumuwe hajakuomba msaada wowote, weka hapa tuone nyumba uliyomjengea baba'ko.

hahahahahaaaaaaaaa
hhhhhhhaaaaaaaaaaaaa
hhhaaaaaaa
neno kuntu
 
Hahahaaaaaaaaaa! Sikujua kama A.ss kissing and licking ni moja ya sifa zako mkuu!

jAMANI HAYAHUSU NI PRIVATE QUOTE YA BADILI TABIA.

Heheheheheh

Kila.mtu ana uhuru wa maoni

Haki ya kumkaribisha atakae

Tena namkaribisha haswa aanze kushusha mavideo akilamba passport


Unaweza iita ass.kissing, ass.licking au hata madole kabisa....... ila sifanyi upendavyo
 
Nimjengee baba yangu kwani umeambiwa ana dhiki aaaahaaaaa anazo za kumwaga labda tumsitiri uyo mzungu chokoraaa
 
Pamoja na uzee kupiga hodi mkuu Pasco ....lakini ng'ombe hazeeki maini .......hebu pitisha jicho kiduchu hapa burudani ya macho ........



Mkuu Mtazamo, ni kweli sisi wengine tumejaaliwa appreciation ya kazi nzuri ya Muumba, katika uumbaji, kuna wengine alikuwa tuu bize, na kuna wengine, He took extra seconds!, na kiukweli, kama una appreciative heart, ni lazima ut appreciate!. Mimi hii kitu nimeitupia jicho toka enzi za "Half London!', tukajaribu bahati zetu, tukaishia ... kwa macho tuu!.Na kwa wengine wetu tulivyo dhaifu kwa rangi fulani fulani na figure fulani fulani, unaweza kujikuta wala sio lazima hadi kule!, hapo hapo tuu paliwazi panatosha kumaliza shida zako zote!.

Pasco
 
Hata wewe umechukulia kwa uzito.umepoteza muda na nguvu zako ku comment
 
Kama nimrkuelewa vyema...



Ushamaliza shida zako tayari....
 
Asante kwa kunikumbusha hii ni bonafide genuine Pasco
Yes Bonafide genuine with authentic evidence!. Next time vitu kama hive unapandisha siku ya ijumaa jioni!.
Wengine tunauwezo wa "mind suggestibility" kubwa, unaangalia picha tuu na ku concentrate, kisha unalala, usiku unapata "wet dream!" ukiamka tayari umemaliza kila kitu!, asubuhi tuma rafiki zake wamuulize jana yake aliota nini na alipoamka alijikuta na hali gani!.

Mambo mengine jamani wee acha tuu, hayo ni mambo ya "stra romance!", there is no mass, distance, wala time
only the outcome!, how?, no one knows!.

Pasco
 
Nimekumichi piaaaaa,,,,,,,,,roho za kwanini miili ya sina shukrani

Roho ya korosho kujikunja katikati....umenichekesha pale juu....nahitaji ndimu umenitia nyongo! Ivi wakati Mungua anamuumba Linda na Zari Dinazardebulikuwa wapi?
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa kunikumbusha hii ni bonafide genuine Pasco
Yes Bonafide genuine with authentic evidence!. Next time vitu kama hive unapandisha siku ya ijumaa jioni!.
Wengine tunauwezo wa "mind suggestibility" kubwa, unaangalia picha tuu na ku concentrate, kisha unalala, usiku unapata "wet dream!" ukiamka tayari umemaliza kila kitu!, asubuhi tuma rafiki zake wamuulize jana yake aliota nini na alipoamka alijikuta na hali gani!.

Mambo mengine jamani wee acha tuu, hayo ni mambo ya "stra romance!", there is no mass, distance, wala time
only the outcome!, how?, no one knows!.

Pasco
 
Roho ya korosho kujikunja katikati....umenichekesha pale juu....nahitaji ndimu umenitia nyongo! Ivi wakati Mungua anamuumba Linda na Zari Dinazardebulikuwa wapi?

Nilikua naandika magazeti na kuchambana nikapitwaaaaaa
 
Last edited by a moderator:

Hahaha....Wasukuma na rangi bana....
 
Invisible Moderator mpaka dakika hii mteja wangu anashindwa kucomment tangu amejiunga mchana mpaka muda huu kwa nini account yake bado hamjampa access?
 

Attachments

  • 1422901987867.jpg
    88.4 KB · Views: 310
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…