Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Status
Not open for further replies.

Attachments

  • 1422864008573.jpg
    1422864008573.jpg
    119.1 KB · Views: 1,454
  • 1422864066170.jpg
    1422864066170.jpg
    112 KB · Views: 1,420
Information za Obama kila mtu anazijuwa, wewe kama document unayomiliki ni kikadi cha mpiga kura tu hapa utaweka nini.

Hapa ni JF tunacheza fair game na record zinawekwa clear na wale waliokuwa wanadanganywa hapa ndio ujiona wajinga na ndio maana watu makini hawana muda na blogs za watu kujipamba na kuattack wengine.

Bado inabidi zilindwe mtu kama anahitaji akatafute sio kuzianika kirahisi Hivi. Huu ni USHAMBA

BTW hujui nilipo mkuu kadi ya mpiga kura ninayo as well as permanent residence. Anyways sijui huyu Linda ni mdudu gani acha nilale
 
Matola huna tofauti yoyote na Dina marios au Gea habibu and the co
Mtoto wa kiume unapenda kushabikia upuuzi wa kike kike sana
 
Last edited by a moderator:
Naona hii thread inawahusu wadada tu, haya mie nimepita kuwajulia hali tu, napita zangu???
 
Bado inabidi zilindwe mtu kama anahitaji akatafute sio kuzianika kirahisi Hivi. Huu ni USHAMBA

BTW hujui nilipo mkuu kadi ya mpiga kura ninayo as well as permanent residence. Anyways sijui huyu Linda ni mdudu gani acha nilale

Mtu usiyemjuwa linakutojaje povu? Anakuzidishia au kukupunguzia nini?
 
Matola huna tofauti yoyote na Dina marios au Gea habibu and the co
Mtoto wa kiume unapenda kushabikia upuuzi wa kike kike sana

Hawa ni role model wako ndio maana unawafahamu vizuri, nikikuuliza Tim Sebastian na Shaka Sali wanaendesha vipindi gani wewe huwezi kujuwa unachojuwa ni taarabu tu.
 
Last edited by a moderator:
Mtu usiyemjuwa linakutojaje povu? Anakuzidishia au kukupunguzia nini?

Under privacy grounds personal information inabidi zilindwe hata kama simjui mtu huyo. Habari imekaa kimbea mbea tu hakukuwa na haja ya kudisclose info za mtu.
 
Under privacy grounds personal information inabidi zilindwe hata kama simjui mtu huyo. Habari imekaa kimbea mbea tu hakukuwa na haja ya kudisclose info za mtu.

Hivi unajijuwa kama wewe ni mpuuzi? Nimedisclose fact kwa kibali cha muhusika na mume wake na nasimama hapa kama wakili wa Linda.

Je una lingine?
 
I am done with shit! Kuna cease fire jamani. Aendelee tu na ufundi cherahani in peace.
 
Matola huna tofauti yoyote na Dina marios au Gea habibu and the co
Mtoto wa kiume unapenda kushabikia upuuzi wa kike kike sana

nakuona mlume ndago kwenye thread ya kiume
 
Last edited by a moderator:
I am done with shit! Kuna cease fire jamani. Aendelee tu na ufundi cherahani in peace.

Napata picha kama ingetokea kweli mkaoana, nyumba full udaku, mama na baba + watoto! Unakuwa hujui mwanaume nani mwanamke nani!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom