Huku ukiruhusu mfungwa apige kuraMpaka wafungwa wanapga kura na waandish wanaruhusiwa kuwahoji? Kwel wenzetu kenya wametuacha
Na ni Kaz ya ziada sana aseMara chache sana kwa rais aliyeko madarakan kushindwa hasa kwa nchi zetu hizi za Afrika...Hii imetokea mara chache sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tanua ubongo wakoHakika kila kona ya nchi hii habari zinazobamba ni kutoka nchi jirani ya Kenya, mbali na hii mitandao ya kijamii Twitter, jf &group za whatsap zote habari kuu ni uchaguzi kenya
Hivi watanzania hatuna ya kwetu ya kuyashadadia hadi tuyashikie bango siasa za kenya?
Apite Uhuru au Raila, sie twafaidika nini?
Hebu tuwache unafiki watanzania, leo ni nane nane na kitaifa inafanyika lindi huko kwanini tusilijadili kwa upana hata hili maana linagusa wengi wa watanzania wakulima
Au ndio kusema kenya ni taifa kubwa kulikoa Tz
Ila hii system yao hii n noma aisee cc tunaendelea tu kumsubir lubuva [emoji16][emoji16][emoji16]hapo n live kabisa hakuna haja ya lubuva
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuru for Presidency
Uhuru for presidency!
Ndo hapo,Uoganise uchaguzi halafu ushindwe?Only in Nigeria and Ghana ila East Africa Never.Ndo imetoka hiyo. Hapana chezea incumbent President. Muhenga Mugabe alishasema only fool incumbents allow to lose an election...in Africa.
Kwa nini mnazungumzia hayo mambo kwenye Jukwaa hili?Hadi sasa matokeo yanavyo zidi kutolewa na IEBC nchini Kenya ni wazi kwamba rafiki yake mkubwa Magufuli kakataliwa na hii iwe ni muongozo wa matokeo ya uchaguzi wa bongo kwa 2020
In God we trust
Muhenga Zuma. Barely surviving an 8th attempt to unseat him. Bravo to him!South Africa's President Jacob Zuma Survives Vote of No Confidence.
Yes 177
No 198
Poleni ccm, si kwa povu hilo. Yaani Raila akidondoshwa nitakula Balimi balaa, kinyume chake nitalia sana. Mimi mtz, msiniulize kwa niniWewe ni mpumbavu kabisa. Akili yako ni kama punje ya haradali., Akili zako ni ndogo kabisa, na lazima utakuwa na kipato Duni sana na elimu Duni sana pia.
Sababu kuna mawaziri wapumbavu ambao mwaka 2012 walikwenda kumsaidia Raila Odinga kampeni na hata aliposhinda yeye uraisi Odinga alikwenda nyumbani kwake kumpongeza.Kwa nini mnazungumzia hayo mambo kwenye Jukwaa hili?
Huu ni uchaguzi wa Kenya, why bringing irrelevancies?