EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Mkuu tanua ubongo wako

jirani yako akifiwa utakosa pa

kupita kwenda kazini!
 
Hadi sasa matokeo yanavyo zidi kutolewa na IEBC nchini Kenya ni wazi kwamba rafiki yake mkubwa Magufuli kakataliwa na hii iwe ni muongozo wa matokeo ya uchaguzi wa bongo kwa 2020

In God we trust
Kwa nini mnazungumzia hayo mambo kwenye Jukwaa hili?
Huu ni uchaguzi wa Kenya, why bringing irrelevancies?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…