EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Uzi huu ni kuleta majumuisho mbali mbali toka kenya


Uzuri katika uchaguzi wao hakukuwa Na vitambulisho vya kupigia kura ,Bali Mtu alienda Na national ID inawekwa kwa mashine anaweka dole gumba inaleta information Zake anapiga kura,

UPDATES ZA MATOKEO YA URAIS TOKA KENYA

RAILA ANAKARIBIA KUANZA KULIA


Wameiga mfumo wa Tanzania wa lubuva ,wanayatangaza matokeo kama yanavyowajia,


KENYATA 904,477 =57%

ODINGA 656,293=41%

Kura ambazo zimehesabiwa ni 1,571,940, zilizoharibika ni 44,357.

Votes counted is 13% of all country votes




UPDATED


UHURU KENYATA : 1,425,783 = 55.2%

RAILA ODINGA: 1,095,920= 43.8%

TUTAENDELEA KUJUZANA
 
Hizo ni kura chache sana zilizohesabiwa.

Kwa hiyo siyo rahisi kwa sasa kusema kuwa Uhuru Kenyatta anaelekea kushinda ...

Let us wait and see.....
 
What a senseless waste of time and money.., Jeeeeesus..., democracy is a fake luxury for africans..., scrap it!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…