Wewe ni Mkenya kweli??? Nani amekuandikia hiki kiswahili??Dadeki, saa kumi na mbili na dakika thelathini na tatu ndo nimepiga kura yangu! Son of the soil, nimeshatimiza wajibu wangu kwa nchi yangu, shukran zote ni kwa Maulana! Hongera tume ya uchaguzi na mipaka IEBC mmejipanga vyema sana! Diwani wangu Ustadh Kanchory mwenyewe, tumepatana nikitoka akanisalimia na kupiga bonge la smile, aisee ni kama ameshinda Sportpesa vile! Anajua nishampa zake tano tena! Jubilee hoyee!
hongera..Mi Niko hapa kaunti ya kitale. Nimepiga kura yangu kwa yule mwenye kumupenda Mimi.
Uchaguzi iko na watu wengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Chagueni Jembe Uhuru achaneni na huyo mwingine hafit nafasi ya urais.Uhuru tano tena, tumerauka na niko kwenye mstali
Mimi ni mkenya jombaa! Sasa hivi nina alama kwenye kidole, kuashiria nimetimiza haki yangu kama mkenya. Kiswahili ndo lugha tunayoienzi mkuu! MK254, uko wapi,kura ulishapiga au vipi?Wewe ni Mkenya kweli??? Nani amekuandikia hiki kiswahili??
Wapi jombaa? Kituo gani hicho?Mi Niko hapa kaunti ya kitale. Nimepiga kura yangu kwa yule mwenye kumupenda Mimi.
Uchaguzi iko na watu wengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wale wa Mombasa mzee wanaongea na kuandika kiswahili nyoko haswa!Wewe ni Mkenya kweli??? Nani amekuandikia hiki kiswahili??
Parallel tally system itazua jambo.Odinga atachakachuliwa.....