Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,996
- 6,290
Ndo hapo panaponishangaza sipati picha siku CCM wakija kushindwaMbona CCM ndio wanaolalamikia matokeo ya Kenya?
Ya ki inglishi siyo...Mimi bado nasubiri kuona Twitter ya Magu akimpongeza Uhuru Kenyatta...
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Yaani odinga alikosea kusema ataongoza kama fulani wakenya wakaona mbali [HASHTAG]#UHURUTANOTENA[/HASHTAG]
Ha ha ha nimefurahi sana Wakenya walichokifanya next time acheni kujifanya mnaingilia siasa za nchi nyingine, CCM mnapanikiiiWakenya akili zao mbovu watamchaguaje fisadi Uhuru
Kenyatta aibuka mshindi kwa 80%
80% reporting
Uhuru 6.7 million votes
Raila 5.3 million votes
Magufuli anewavuruga ukawa hadi hawajielewi!
Aibu hii mpinzani kushangilia chama tawala kushinda Kenya huku yule wa upinzani akilalamika kuonewa ambayo ni kweli tupu.
......
Uhuru ameshashinda!
matokeo ya kutengeneza hayo ndo maana yalitanguliwa na mauaji ya kiongozi wa tume hopeless kenya hopeless democracy laila samper fidelsKwa sasa na jitayarisha kumpokea rais uhuru tena kama rais wangu huku nikiwa nimevalia shati ya jubilee