EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Yaani odinga alikosea kusema ataongoza kama fulani wakenya wakaona mbali [HASHTAG]#UHURUTANOTENA[/HASHTAG]
Mbona unatoa weak comment kama hii? Mara ya kwanza Uhuru alichaguliwa lini? na aligombea na nani? Inauhusiano gani na Magu?
 
matokeo ya kutengeneza hayo ndo maana yalitanguliwa na mauaji ya kiongozi wa tume hopeless kenya hopeless democracy laila samper fidels
Nani kakudanganya hayo?wakati huu mtahangaika sana kama kuku aliyekatwa kichwa
 
Ya kweli hayo!!

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…