Mbona unatoa weak comment kama hii? Mara ya kwanza Uhuru alichaguliwa lini? na aligombea na nani? Inauhusiano gani na Magu?Yaani odinga alikosea kusema ataongoza kama fulani wakenya wakaona mbali [HASHTAG]#UHURUTANOTENA[/HASHTAG]
Odinga hatoisahau ccmWadau hadu SAA 9 kamili usiku huu matokeo Uhuru Kenyata 6,300,000 wakati Rails Odinga 5,130,000. Vituo vilivyohesabiea 30,000 kati ya 40,000
Kaponzwa na wana ccmNakuelewa vizuri NN
Ila kwa uchaguzi huu nionavyo mimi Odinga hakuwa wakushinda. Or hajashinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Familia ya odinga itawalaumu ccm maishawe ni msaliti unapingana na msimamo wa Mbowe?
Kenya hakuna jecha
Nani kakudanganya hayo?wakati huu mtahangaika sana kama kuku aliyekatwa kichwamatokeo ya kutengeneza hayo ndo maana yalitanguliwa na mauaji ya kiongozi wa tume hopeless kenya hopeless democracy laila samper fidels
Ya kweli hayo!!Tunaomba watanzania mutume majeshi kumuondoa huyu jambazi kwa jina uhuru. Kwa kweli mtoto wa nyoka ni nyoka tu! Hivi alivyokuwa akikariri mambo ya kudumisha amani, nilijua tu mipango ya uwizi ushaiva. Tofauti na mwaka wa 2007 kibaki alivyoiba kura kijinga jinga tu, sasa wamegundua uwizi wa kimitambo.
Hahaha kwa hio nawewe wa chama tawala CCM unashabikia chama pinzani Kenya Si wehu huo.Magufuli anewavuruga ukawa hadi hawajielewi!
Aibu hii mpinzani kushangilia chama tawala kushinda Kenya huku yule wa upinzani akilalamika kuonewa ambayo ni kweli tupu.
......
Magufuli anewavuruga ukawa hadi hawajielewi!
Aibu hii mpinzani kushangilia chama tawala kushinda Kenya huku yule wa upinzani akilalamika kuonewa ambayo ni kweli tupu.......
Odinga kajimaliza mwenyewe kwa kuukumbatia uccmMbona unatoa weak comment kama hii? Mara ya kwanza Uhuru alichaguliwa lini? na aligombea na nani? Inauhusiano gani na Magu?
Hata hapa bongo ccm imeshashindwaCCM chali Kenya!
Hehe, lahaja ya kikalenjin hiyo. Kule bomet walimchagua gavana Joyce Laboso, kauli yake ilikuwa 'Joyce is the choice!' Hata Joyce mwenyewe hakuwa anaweza kutamka hilo!
Magufuli anewavuruga ukawa hadi hawajielewi!
Aibu hii mpinzani kushangilia chama tawala kushinda Kenya huku yule wa upinzani akilalamika kuonewa ambayo ni kweli tupu.
......
Sawa team "Ulipo tupo"....damu ya Mussando pamoja na wengine wengi haitawaacha salamaAngalau East Africa tutabaki na democracy moja... Kenya. Uwezekano by 99% up to now, Mshindi unaweza ukamtabiri!